Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi

Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi

Wiki iliyopita nilikuwa nmeboreka nkaenda kukaa na wazee wa mtaan ni wazee kwl kwa umri wangu nawaita babu. Kuna Mzee m1 alieleza jambo 1 nkawaza kama kuna kaukwl kwanz alisema yy alioa bint mdg sana wakati yy tayar ashakuw mkubwa alisema alioa mwaka1995 wakati uyo bint akiwa na miaka13 yy hakutaj umri wake akasema kwa umri alonao mke wake anajua kabisa kuwa anachepuka na akadai mara nyng anaporud nyumbani kwake uwa anaimb kwa saut ili kama kuna mwanaume ndani kwake aondoke alisema anajua kama co kuhis kuwa mkew anaweza kuwa anacheat ila kumuacha HAWEZI kwa sababu alisema ipo siku magonjwa yatamnyemelea na HAKUNA ndugu ataeweza kuja kumsaidia eidha kumlisha,kumsafisha au kumuhudumia coz binadam tuna kinyaa sana akatoa mfano mgonjwa akiwa na hal mbaya kalazw kwa muda mref hospital ndugu wengi uwa wanakwepa kwenda asbh kumsafisha mgnjw wao, hvy akatushaur ss vjana kuoa kuna umuhim wake kwa baadae ila mwisho alisema muda mkew akimnunia bac anaingia chaka la tandika kula NYAPU au kuna maeneo vipo vibinti vdogo tu vinapenda NDONGA kama pipi uwa anadeal navy.

Kazi ni kwako
Hawa ndo wazee wapuuzi ambao mtu hatakiwi kukaa nao ukachukua maujinga yao
 
Hivi comments humu JamiiForums huwa zinaweza kufutwa? Maana nashangaa comment yangu siioni humu nikiingia wakati notification pale juu imeonesha mtoa post kaniquote kabisa.

Sasa naandika tena
WEWE (MTOA MADA) NI PUNDA... TENA SI WEWE TU BALI NA WOTE WANAOKUSAPOTI

ifuteni na hiyo sasa maana inaonesha ni jinsi gani mlivyodhamiria kuporomosha jamii. Yaani mtu ananyong'onyeza kabisa harakati za jamii katika kudumisha utamaduni halafu mnachukulia poa duh! Kweli kua uyaone- siyo maghorofa.

Ndoa ina faida sana tofauti na KakaMkubwa anavyotuaminisha hapa. Kwa ufupi nitataja faida chache tu

1. Kuunga (udugu/Undugu)
Ndoa inasababisha watu kuwa ndugu moja hivyo kuongeza wigo wa ushirikiano. Angalia familia zenye upweke kijana akija na mchumba members wanavyofurahia utasikia "nafuu baba ulete mtu ili na mimi nipate wa kupiga nae stori". Usipooa kama ukoo/familia yenu ina member wanne mtabaki hivyo hivyo wanne tu lakini ukioa mnakuwa ndugu kubwa ambapo faida yake sisi walala hoi ndo tunaijua (hasa kwenye matukio makubwa) ila wewe kwakuwa 'umejitosheleza' utasema "wingi si hoja"

2. Kustiriana
Mashimo makubwa vibamia wenye makovu wasio na nywele nk wote hao isingekuwa ndoa wangetangazika balaa ila ndoa zinawasitiri. Pia wenye kipato wanawasitiri wasio kipato, wenye kukubalika kuwasitiri wasiokubalika nk. Hamu za kingono bila ndoa watu wangedhalilika lakini angalia watu wanasitirika kingono kupitia ndoa na ukitaka kuamini wewe kama hujaoa ngoja apite mdada anatingisha matako halafu hamu ikaja na simu haina chaji wala hela huna. Vilevile wenye upweke kusitiriwa na wenye furaha (rejea hoja namba 1). Bila ndoa watu wangedanga sana ila mahitaji ya kifedha mtu anakuwa anayapata kwa mwenza wake mambo fresh. Kwa kifupi vyovyote utakavyoiweka hiyo faida ila hoja inabaki kwamba ndoa inastiri watu.

3. Kupunguza zinaa
(Wanaita ngono holela) ambapo wasioolewa wanajikuta wanakuwa malaya wahuni na majina mengine pale wanapokosa au wanapohitaji kupata faida za ndoa kwa njia tofauti na ndoa

4.Utulivu
Wewe uliyesema unapata kila wakipatacho waliooa ni mwongo. Leo unalala na mwajuma keshokutwa veronica wiki ijayo suzi asipokuja unajikuta unachukua mpaka yule malaya au hata chizi wa hapo mtaani kwenu ilimradi tu ukidhi haja zako. Mara bahati amesema angekuja halafu hajaja umengoja mpaka basi na simu hapatikani. Siku nyingine unachoka na kazi ukirudi unahitaji mawazo ya kukuimarisha lakini hayupo wa kufanya hivyo. Mara saa zingine hujamalizia "cha pili" simu ya demu imeita anahitajika haraka sana hapo bado hatujaongelea ishu ya purukushani na madume wenzako katika scramble na huyo jike sasa yote hayo utulivu uko wapi

5. Kupata familia (mke na watoto)
Hoja yake mwandishi na wengineo wanasema eti watoto unazaa tu nje. Sasa fuatilia wote wanaozaa nje historia yao na wanawake wazazi wenzao au watoto hao uone kizungumkuti wanachokutana nacho. Mtoto hajulikani baba yake halisi ni nani na tena wanawake wengine anaamua kukufungia vioo kabisa hataki uwazoee 'watoto wake'. Watoto wengi wengi wenye utata juu ya baba zao na mama zao unakuta walizaliwa kwa mtindo huo mnaoushabikia

6. Kuongeza kipato (uchumi)
Hii wengi watapinga lakini kwa mwenye kutafakari vema anaelewa tu hata zile primitive society msingi mkuu wao ni watu. Jamii zote za kale matajiri walikuwa ni zile koo kubwa (zenye watu wengi). Sasa sijui bila kuoa hao watu watakuwaje ukoo mkubwa maana huwezi kwenda kukusanya watoto uliozaa nje kiholela eti uje uwajaze home wakati mama yao nae anataka aijaze familia ya kwao.

7. Kuwa tofauti na viumbe wengine
Binadamu ameumbwa na utashi wa kuishi tofauti na viumbe wengine kama ndege na wanyama na amepewa uwezo wa kuvitawala vitu vyote duniani sasa ikitokea yeye tena hataki kuishi kwa mifumo anataka aishi kama wanyama ni bora kumbe wanyama watutawale sisi sasa

8. Kuleta hadhi na heshima
Ukioa au kuolewa unakuwa na hadhi fulani na utapata heshima. Pia mwenyewe utakuwa mwadilifu na utakuwa mwenye kuheshimu. Angalia baadhi ya mambo utakuta asiyeoa hahitajiki kabisa wala hathaminiki kisa tu haaminiki au angalia baadhi ya hoja za mabachela zinapuuzwa kabisa kisa hajaoa

9. Mwisho niseme tu ndoa ni kiburudisho kwa wanandoa (hasa sisi wanaume) ambao starehe yetu kuu ya pili ukiacha kulala ni ngono, ndoa ni kitulizo, ndoa inaleta uchamungu, ndoa ni nusura pia na ndomaana vijana wanasema ufanye upate nusra uepuke mtihani wa zinaa. Nawashauri hata nyinyi mnaoshabikia hapa kama hamjaoa mfanye muoe (sijui muolewe) na kamwe msigeuze changamoto mlizoziona/sikia/kutana nazo katika ndoa mkazifanya ndo fursa za kukandia ndoa laa! Bali ni muda mwafaka wa kucheki wapi pa kurekebisha ndoa isiwe taabu na maisha ya ndoa yaendelee. Na wengine nyinyi msikatishwe tamaa na maneno ya Instagram au Facebook au JamiiForums au...

Kinyume chake aliyoyaandika hapo mleta uzi yote ni hasara za kukosekana ndoa au hasara za watu kutokufuata misingi ya ndoa

NDOA INA UMUHIMU SANA HASA KWA KARNE HII TULIYONAYO

OENI NA OLEWENI

Wewe ni Pundamilia Kwa sababu upeo wako ni mdogo umeshindwa kuelewa Uzi unamzungumzia nini.

Hayo uliyoyaeleza mbona hata mtoto wa darasa la tatu anayajua.

Ila tunazungumzia uhalisia wa mambo ulivyo Kwa sasa.

Hakuna asiyejua umuhimu wa ndoa.

Ila huo umuhimu ndio Kwa Karne hii umepotea
 
Kwakweli kuhusu wanawake kujirahisisha imepitiliza sana (ingawa sio wote) ila ni kwa % kubwa sana. Kuna muda ukikaa unawawazia kaka na ndugu wa kiume kwa jinsi mambo yanavyokwenda uhakika wa kupata mke aliye bora ni kwa 20% tu (hasa mijini). Na hiki ndo chanzo cha hofu kwa wanaume kuhusu NDOA.

Pia kushamiri kwa biashara ya ngono, wanawake (baadhi) hawana hofu tena kuhusu kujiuza..
For sure ...watu tunahofia kupata wake ...maana makahaba yanaongezeka daily
 
Kiukweli hali ni mbaya mno huku mtaani,, wanawake tumekuwa wepesi na rahisi sana

Wengi hatuna thamani machoni pa wanaume[emoji22] inafikia hatua mtu anajilipia mahari, hali sio aisee
[emoji817] agreed ...hali ni mbaya mbaya mnoo
 
Sasa hivi mpk mabinti wanatamani eti nao wangekua wanaume ili wazigonge kwelikweli nyapu za burebure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanatamani kulipiza kisasi ila wa kumlipizia hawana ... wengine wamekimbilia usagaji
 
Mwanamke akisikia mwanaume yupo singel anagawa mzigo kirahisi sana kuliko kwa mme wa mtu,, -- hivyo walio single wanaona usingle wao kama moja ya silaha kubwa ya kupatia wanawake hivyo kuuacha ni kupunguza fursa za kutafuna wadada.
PASU KWA PASU / HAKI SAWA.
Athari zake ni kubwa sana na zikija kuanza kuonekana ni vigumu sana kuzieliminate. Baadhi ya athari zake ni hili wimbi la transgender na depopulation.

Tukifika huko wanawake wengi watakosa wanaume- hivyo usagaji utashamiri sana.

Kuna nchi tayari zimeshaathirika na haya mambo na hazina namna ya kufanya.
 
Mwanamke akisikia mwanaume yupo singel anagawa mzigo kirahisi sana kuliko kwa mme wa mtu,, -- hivyo walio single wanaona usingle wao kama moja ya silaha kubwa ya kupatia wanawake hivyo kuuacha ni kupunguza fursa za kutafuna wadada.
PASU KWA PASU / HAKI SAWA.
Athari zake ni kubwa sana na zikija kuanza kuonekana ni vigumu sana kuzieliminate. Baadhi ya athari zake ni hili wimbi la transgender na depopulation.

Tukifika huko wanawake wengi watakosa wanaume- hivyo usagaji utashamiri sana.

Kuna nchi tayari zimeshaathirika na haya mambo na hazina namna ya kufanya.

Umenena vyema Mkuu
 
Hyo kugawana mali imemtokea jiran yetu hapa,yaan mwanamke kamkomoa jamanaa,achilia mbali kumlaza selo na kupgwa fain ya M2 kaja nyumbani kakusanyaa kila kitu,alitaka kuchukua na kitandaa jamaa ikabid akaze!!ila nimejagundua wakwe ndo wanawajaza watt wao ujinga wa kuwaambia wagawane mali!..na hii tabia ipo sanaa kanda ya titi
 
Ndoa bado ina umuhimu mkubwa sana , watu wengi wanaingia kwenye ndoa baada ya kipindi kifupi tu cha uchumba bila hata ya kufahamiana vizuri tabia zao ,ambapo wakiingia kwenye ndoa ndipo huanza kujuta. Wanaume wengi wanaogopa kuoa kwa sababu ya kuona ndo nyingi zinavunjika, kila ndoa inakuwa na baraka zake ukipata mke mwema basi ndoa yako itakuwa nyepesi kabisa, ukikosea na ukaoa mke waluwalu basi itakubidi utumie akili nyingi kumtuliza ili ndoa yako idumu la sivyo mtafukuzana mda mfupi. Pia kwa maisha ya miaka ya sasa ya kibongo bongo ili uwe na ndoa yenye maelewano basi muhimu muwe na uwezo wa kipato cha kuwezesha familia kula, kusomesha, mavazi,kulipa kodi, pesa ya dharula inapotokea shida ya afya na kutunza wazazi.
 
Watu tumezidi kula kimasihara mno🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Kiukweli hali ni mbaya mno huku mtaani,, wanawake tumekuwa wepesi na rahisi sana

Wengi hatuna thamani machoni pa wanaume[emoji22] inafikia hatua mtu anajilipia mahari, hali sio aisee
Kama jana kuna mademu nawafahamu walikuja kwenye duka furani wakakuta wafanyakazi sijui walijua ndo mabosi wakaomba namba kabisa bila aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom