Hakuna usawa kwenye akili ya mwanamke.

Hata kwenye familia nimeona mtoto wa kike akifanikiwa na akawa na familia, basi ataangalia watoto wake tu na si vinginevyo. Labda itokee apate ujukuu napo atajishughulisha. Lakini kwamba abebe jukumu la ndugu zake wengine, huwa ni nadra sana. Tofauti na watoto wakiume. Labda mtoto wa kiume apate mwanamke mwenye roho mbaya ndipo anaweza asikimbuke ndugu zake mbali na watoto wake
 
..una akili nyingi mno ww!
 
kabisa mkuu
 
Mkuu kwakeli umeongea ukweli mtupu. Binafsi ninachezea za uso kwa angle nyingi ulizo ziongelea. Ila nna subiri avuke mstari mwekundu nitumie siraha yangu pendwa ya unidirection nature of decision.
 
Kazi yangu hapa ni kufungua code vijana waone ukweli halisi. Atakaeamua kufanya maamuzi mapema na atakaeamua kusubiri mpaka apigwe na tofali la utosi kwanza, wote watavuna walichopanda.
 
Mkuu kwakeli umeongea ukweli mtupu. Binafsi ninachezea za uso kwa angle nyingi ulizo ziongelea. Ila nna subiri avuke mstari mwekundu nitumie siraha yangu pendwa ya unidirection nature of decision.
Unidirection whaaaat?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 

huyo ni mppuuzi tu, mke vovote atakavyokuwa anapata wapi nguvu za kumzuia mume kutekeleza majukumu yake ya familia? matatizo hapo yao kwa jamaa tu mke kisingizio
 
huyo ni mppuuzi tu, mke vovote atakavyokuwa anapata wapi nguvu za kumzuia mume kutekeleza majukumu yake ya familia? matatizo hapo yao kwa jamaa tu mke kisingizio
Vijana wanataka waonekane gentlemen ndio maana wanawake wanapata ujasiri wa kuwaendesha. Mimi baada ya kaka angu kufariki familia iliniachia jukumu la kumlea mtoto wake kwa kipindi hicho alikia darasa la 5.

Shule anayosoma ada ni kubwa kidogo. Siku moja wife aliniambia nimwamishie dogo shule ya kata ili kuokoa gharama. Nikamwambia siwezi kumpeleka dogo kwenye shule ambayo mwalimu mmoja anafundisha darasa lenye wanafunzi 100, ni bora tulale njaa lakini lazima dogo apate msingi mzuri wa elimu.
 
β€œMwanamke anavyozidi kupanda ngazi kielimu au kiuchumi ndivyo anazidi kupoteza hekima na sifa za kuwa mke mwema. Unatakiwa kujua saikolojia yetu wanaume ni tofauti na ya wanawake. Mwanaume akitoboa wazo lake la kwanza ni kumuhudumia mkewe, mwanamke akitoboa wazo lake la kwanza ni kumwondoa mwanaume kwenye maisha yake. Wawezeshe wanaume 100 utaziinua familia 100. Wawezeshe wanawake 100 utazibomoa familia 95β€πŸŽ―πŸ”¨πŸ”¨
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒNa mwenye macho na asome!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…