Unasound stupid and savage.Huyo binti yako unahisi ni special sana au ni ulimbukeni.Hii ni faraja unajipa baada ya kufeli au kukosa kitu fulani katika maisha yako.Hakuna usawa kwenye akili ya mwanamke ambae baba yake hakuwa makini , binti yangu kamwe hawezi naswa na mtego wa namna hiyo.
Yamkini mkeo amekutawala unafanya attachment kwa binti yako.Mada iko wazi ila wewe unajiresi.