Hakuna usawa kwenye akili ya mwanamke.

Hakuna usawa kwenye akili ya mwanamke.

Hakuna usawa kwenye akili ya mwanamke ambae baba yake hakuwa makini , binti yangu kamwe hawezi naswa na mtego wa namna hiyo.
Unasound stupid and savage.Huyo binti yako unahisi ni special sana au ni ulimbukeni.Hii ni faraja unajipa baada ya kufeli au kukosa kitu fulani katika maisha yako.

Yamkini mkeo amekutawala unafanya attachment kwa binti yako.Mada iko wazi ila wewe unajiresi.
 
Unasound stupid and savage.Huyo binti yako unahisi ni special sana au ni ulimbukeni.Hii ni faraja unajipa baada ya kufeli au kukosa kitu fulani katika maisha yako.

Yamkini mkeo amekutawala unafanya attachment kwa binti yako.Mada iko wazi ila wewe unajiresi.
Tuliza kwanza wenge halafu ndio useme ulichokua unataka kusema .
 
Madini Sana haya ila bahati mbaya vijana wa sasa hawataki ushauri wala kuelimishwa wao wanatuambia zilikua Zama zenu hizi ni Zama zingine ! Wakipigwa na vitu vizito ndipo wanakuja kulialia sasa. Hopeless kabisa
 
Madini Sana haya ila bahati mbaya vijana wa sasa hawataki ushauri wala kuelimishwa wao wanatuambia zilikua Zama zenu hizi ni Zama zingine ! Wakipigwa na vitu vizito ndipo wanakuja kulialia sasa. Hopeless kabisa
Kaka na baba zetu walifanya kosa kidogo takribani miaka 20 iliyopita kwa kuruhusu mfumo jike utawale na kumyong'onyeza mwanaume.

Bahati nzuri wachache wenye kuona mbali tumeshaamka na kuona kuna kitu hakipo sawa na kitapelekea kuangamiza mustakabali wa kizazi cha kiume uko mbeleni. Tusichoke kuwasanua madogo taratibu wataelewa tu.
 
Unasound stupid and savage.Huyo binti yako unahisi ni special sana au ni ulimbukeni.Hii ni faraja unajipa baada ya kufeli au kukosa kitu fulani katika maisha yako.

Yamkini mkeo amekutawala unafanya attachment kwa binti yako.Mada iko wazi ila wewe unajiresi.
Asubiri kafike ule umri wa foolish age atajua hajui... Kanapigwa miti na hakaambiliki yani hakaelewi somo
 
Asubiri kafike ule umri wa foolish age atajua hajui... Kanapigwa miti na hakaambiliki yani hakaelewi somo
Iyo phase ya foolish age ni changamoto sana kwa wazazi, ndio phase ambayo ita-determine innocence au trauma uko mbeleni binti atakapoingia kwenye stage ya kuitwa mwanamke
 
Back
Top Bottom