Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Bado haujakuwa wewe, hauijui dunia na maajabu yake.
Wewe ambaye umekuwa na unayeijua dunia na maajabu yake umeweza hata kuwa na utajiri wa kumfikia Bakhressa?

Kama unajua kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina nenda kautumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos au Billgates.
 
Umri wangu hauna msaada wowote kwako.

Jenga hoja jikite kwenye mada.

Kama huwezi. You can leave this thread.
Naweza kuwa naongea na mtoto ambaye bado hajaijua dunia hii ilivyo na inavyojiendesha. Nikijua umri wako nitakujibu kulingana na rika/umri ulionao
 
Kuwa uyaone ndugu
 
Kuwa uyaone ndugu
Hio lugha mnaitumia wengi humu

Haina haja ya kusema mtu akue aone muoneshe kwa mifano fulani na fulani au kwa kujitaja na ushahidi juu katajirika/umetajirika kupitia ndumba sio kuongea ongea tu
 
Siwezi kutumia nguvu kubwa kubishana na mtu ambae hana maalifa yakutosha zaid ya mihemko.
 
Naweza kuwa naongea na mtoto ambaye bado hajaijua dunia hii ilivyo na inavyojiendesha. Nikijua umri wako nitakujibu kulingana na rika/umri ulionao
Wewe si unajifanya kuijua dunia, Sasa niambie ni nchi gani iliyo tajirika kwa nguvu za kichawi, kishetani au kishirikina?

Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi au ushirikina?
 
Siwezi kutumia nguvu kubwa kubishana na mtu ambae hana maalifa yakutosha zaid ya mihemko.
Niambie na thibitisha ni tajiri gani mkubwa duniani alifanikiwa kwa uchawi na ushirikina?

Niambie na thibitisha ni nchi gani ilifanikiwa kwa nguvu za kichawi, kishetani na kishirikina?

Ukishindwa kuthibitisha, You shouldn't come here to advertise your ignorance.
 
Wakiristo wengi mnachanganya dini na uchawi sijui ndio mafundisho mnayofundishwa

Kwamba ukifanikiwa ni Mungu kakufanikisha

Usipofanikiwa ni uchawi au mkono wa mtu

Na ukimuamini Mungu ni lazima ufanikiwe/ uwe tajiri n.k bila hata jitihada

Hizi dini sometime zinatupumbaza sana
 
Kwanza kigezo Cha mtu kuitwa maskini ni kipi, ni akiwa na chini ya sh ngapi? Na kuwa tajiri ni kuanzia sh ngapi?
Makazi duni, Elimu duni, Huduma mbovu za kijamii.

Huko vijijini kuna watu hata hawawezi ku afford basic needs zao.

Halafu bado wana amini kuna utajiri wa kishetani na kichawi.
 
Uwepo wangu hauna uhusiano wowote ule na uwepo wa huyo Mungu.

Ni wewe tu unafosi na kulazimisha uwepo wangu uwe umetokana na huyo Mungu.

Thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Yeye kama yeye.
Hilo ndio jibu hata Ukatae,Hata shetani anaamini Mungu yupo,sembuse wewe!
 
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha utajiri wa kichawi kwamba upo zaidi ya makasiriko tu kama mlikua mnategemea kupata utajiri wa uchawi sijui hirizi za kujilinda na ujinga mwingine imekula kwenu .
 
Makazi duni, Elimu duni, Huduma mbovu za kijamii.

Huko vijijini kuna watu hata hawawezi ku afford basic needs zao.

Halafu bado wana amini kuna utajiri wa kishetani na kichawi.
Umeshatembea nchi ngapi au hata mikoa mingapi hapa tz bwana mdogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…