Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Wee unaamini kuwa alikua anashona viatu..?
Mkuu kuhusu tajiri mkubwa kama Bakhresa na akina dangote kilichowabeba ni gvt katika harakati zao za mwanzo za utafutaji na sio uchawi

Naamini kapitia hiyo stage ya kushona viatu kwani maisha ya binadam yanaanzia mbali japo kuna code nyingi kazificha ila sio za kichawi kama mnavozusha walokole
 
Mkuu mi kuna ndugu yangu Japo sasa hv ni mzee..
Ujue kaanza hizo biashara kitambo za shoeshine ila mpaka leo show kali...
Vipi msimamo wako kwa huyu babu yangu
 
Sasa mkuu...
Ujawahi kutana na kesi mtu kalogwa au hiyo ni nini..

Hata uchawi nao una limit yake unaposema kurusha missile hizo sijui kuwaloga wazungu, ukute hyo stage ni kubwa sana ya hali ya juu..

Ila huku mtaani mtaani mbona watu wanalogwa kaka
Unathibitisha vipi ni kulogwa na si maarifa ambayo wewe huyaelewi?

Kwani wale jamaa wa mazingaombwe wanatumia maarifa gani kukufanya uone kiini macho?

Je na wale jamaa wa mazingaombwe utawaita wachawi?
 
Ila Wewe dogo ni Bogus sana...Kakwambia nenda kwake umuone huyo nyoka ww unaanza kusema unamtaka si ukamtafute wako.
Kumbe wewe n Mwehu unajaza Server tu apa.
Mnabishana na mgonjwa wa akili. Fikiria kuanzia asubuhi hadi muda huu, hata kunya hajanya anafanya kazi sa ngapi..
 
Wote mnaompinga mleta mada kuwa hana Imani eti haamini Mungu wala shetani, swali kwenu lipo hivi kwanini mnatumia condom mnapokutana na mpenzi mpya au mnaenda kupima kwanza hospitali, kwanini msinyanduane kavu kavu huku ukimuomba Mungu au uombewe huko unaposali usipate magonjwa ili tuthibitishe kuna nguvu na miujiza isiyoonekana inayofanyakazi ukiamini
 
Mkuu mi kuna ndugu yangu Japo sasa hv ni mzee..
Ujue kaanza hizo biashara kitambo za shoeshine ila mpaka leo show kali...
Vipi msimamo wako kwa huyu babu yangu
Ngoja nikuambie kitu

Wewe unaweza ukawa umezaliwa bush ukapiga kazi ya ukulima

Ukapata connection ukaja dar ukaanza na haso za umachinga

Ukapata dili la kwenda china kujumua mizigo hatimae ukatoka kimaisha

Hivyo ukija kutuambia kuwa ulianza kama mkulima tutakubishia? Wakati ipo kwenye cv yako
 
Mkuu nasikitika unapoteza muda na mgonjwa wa akili.
 
Wewe unaamini nini?
Hapa hatuzungumzii imani utajiri sio imani ni uhalisia

Tunataka utaje tajiri aliologa akapata utajiri kupitia misukule na sio haso za biashara kama za akina bakhresa na dangote za kufungua maviwanda ya cement na ngano na huduma kibao tunazotumia
 
Hapa hatuzungumzii imani utajiri sio imani ni uhalisia

Tunataka utaje tajiri aliologa akapata utajiri kupitia misukule na sio haso za biashara kama za akina bakhresa na dangote za kufungua maviwanda ya cement na ngano na huduma kibao tunazotumia
Ya utafutaji wa kihalisia ndiyo chimbuko la kupata, ila kwenye kuendeleza ndiyo hutokea changamoto... kama hujakutana nazo mshukuru Mungu kwa kukulinda...ila wapo wanaoamua kufanya shirki ili kujikwamua kwenye vikwazo hivyo...na matokeo huonekana japo kuna maumivu ndani yake, kwani shetani hatokuacha salama...
 
Mkuu nasikitika unapoteza muda na mgonjwa wa akili.
Cha kushangaza bado unafuatilia huu uzi kwa karibu sana.

Sasa sijui unafanya nini kwenye uzi wa mgonjwa wa akili?

Anyway, Mgonjwa wa akili ni Babako aliyezaa punguani kama wewe.
 
Shida hizo unazosema ni imani zenu juu ya matajiri hamna ushahidi

Mkishaona fulani kapiga hatua mnaanza sema sijui ana misukule sijui anatoa kafara n.k

Iman za dini pia zinachangia, wahubiri wanakuaminisha kuna sijui vifungo na uchawi ndio maana hufanikiwi huku yeye anatumia sadaka yako kujiwekeza

Mkuu hayo yote uliosema ni ubatili hakuna ushahidi juu ya hiyo shirk kutumiaka mtu kutajirika kama ipo nipe mfano nipo hapa nasubiri mfano
 
Wapo.... sihitaji kuwataja maana hutoamini na mafanikio bila ushirikina yapo... Nikutakie harakati njema katika njia sahihi na Mungu muumba mbingu na nchi akufanikishe katika yote mema utendayo.
 
Wapo.... sihitaji kuwataja maana hutoamini na mafanikio bila ushirikina yapo... Nikutakie harakati njema katika njia sahihi na Mungu muumba mbingu na nchi akufanikishe katika yote mema utendayo.
Ukiona code hata mwenye D 2 anashindwa kuifungua hiyo code haipo ni uzushi
 
Unathibitisha vipi ni kulogwa na si maarifa ambayo wewe huyaelewi?

Kwani wale jamaa wa mazingaombwe wanatumia maarifa gani kukufanya uone kiini macho?

Je na wale jamaa wa mazingaombwe utawaita wachawi?
Uchawi upo...
Mganga unajua ishu ya ramli wewe..?
 
Nyie wakuu.. mnakataa uchawi hakuna seriously wakati unayosema hapa ni uchawi wenyewe...

Wee unapata pata connection mara China mara where..
Mbona wengine hawapati
 
Uchawi upo...
Mganga unajua ishu ya ramli wewe..?
Kama uchawi upo nenda kautumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa hapa nchini kama Mo Dewji, GSM, Bakhressa.

Huyo mganga kama anajua uganga wake una nguvu kweli, Kwa nini asiutumie kuwa tajiri awazidi kina Dangote?

Hivi ni mtu gani ambaye ana uwezo wa kukutajirisha wewe, ila hawezi kujitajirisha yeye mwenyewe?

Kwani kuna mtu hataki kuwa tajiri?

Au hao waganga na wachawi wanapenda wawe maskini, ila wewe uwe tajiri?

Inawezekana kweli kwa akili timamu za kibinadamu???
 
Nyie wakuu.. mnakataa uchawi hakuna seriously wakati unayosema hapa ni uchawi wenyewe...

Wee unapata pata connection mara China mara where..
Mbona wengine hawapati
Kwani kupata connection kwenda china ni hadi uwe mchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…