Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mkuu kuhusu tajiri mkubwa kama Bakhresa na akina dangote kilichowabeba ni gvt katika harakati zao za mwanzo za utafutaji na sio uchawiWee unaamini kuwa alikua anashona viatu..?
Naamini kapitia hiyo stage ya kushona viatu kwani maisha ya binadam yanaanzia mbali japo kuna code nyingi kazificha ila sio za kichawi kama mnavozusha walokole