marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Wewe pamoja na huyo Mungu wako wote ni Wapumbavu.Basi kama kuna mtu Huwa namuona ni mpumbavu ni yule anayesema hakuna Mungu. Kuna vitu vonatia hasira sana.
Kwa nini uhitaji kuamini Mungu yupo Badala ya kujua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo?Nimeumia sana kwa ajili yako. Kwa hiyo na wewe unajiweka kwenye kundi la wanasayansi ambao hawaamini kuwa kuna Mungu.
Na wewe Thibitisha uwepo wa huyo Mungu na si imani yako uchwara ya kufikirika tuHao wanasayansi deep down wanaamini Mungu yupo sema wameshindwa kuthibitisha kisayansi ndio maana wanakana.
Aliyekulisha huo upuuzi wa kidini na kiimani, Amekupumbaza sana.Aliyekulisha huo upuuzi wa atheist amekosea sana.
Unafikiri humu kuna mtoto ambaye hajakua?Si mtalaam katika kuandika ila tuvumiliane mada imekuja wakti muafa wa jira
Kwa africa kuwa ujaone
Code gani acha unafikiUTAJIRI (PESA) una code zake (KANUNI) na ndivyo hivyo hivyo kwenye maisha tunayoishi kila siku, nitashusha code za utajiri siku moja.
Mungu huyo kama yupo, Basi alikosea sana kuumba dunia yenye uovu na mabaya ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya alikuwa nao.Mungu hakosei
Hakuna Mungu anayejalia kitu chochote kile.Leo nimewasha kidogo tuvumiliane
Mwenyemungu anakupa nafsi nakujaria na body
Haijarishi mzuri mbaya
Short cut uchaaei upo sanaMungu hakosei
Leo nimewasha kidogo tuvumiliane
Mwenyemungu anakupa nafsi nakujaria na body
Haijarishi mzuri mbaya
Awali ya yote mwamba muumba na mmiliki vyote vilivyopo dunia nisamehe kwa kukushirikishaCode gani acha unafiki
Umekwama we siku ukikoswa na kuti la mnazi au ajari yoyote ndio utajua mungu yupoMungu huyo kama yupo, Basi alikosea sana kuumba dunia yenye uovu na mabaya ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya alikuwa nao.
Mungu huyo alikosea sana kuumba binadamu wenye uwezo wa kutenda mabaya, ilhali angeweza kuumba binadamu wasio weza kufanya mabaya.
Mpaka hapa inadhihirisha wazi kwamba Mungu huyo kama yupo, amesha kosea sana.
Na hafai kuwa Mungu.
Hakuna Mungu anayejalia kitu chochote kile.
Mungu huyo mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Huyo Mungu kwa nini asizuie hizo ajali zisikutokee kabisa kwenye maisha yako yote ya hapa duniani?Umekwama we siku ukikoswa na kuti la mnazi au ajari yoyote ndio utajua mungu yupo
Unajua wewe kijana ni mjinga sana sijapata kuona ?Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.
Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?
Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?
Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.
Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.
Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet βοΈ, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.
Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.
Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.
Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.
Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.
Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.
Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.
Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.
Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.
Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.
Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.
The supernatural power is You, Yourself.
Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.
I'm out.
Wewe ndio hauna hoja umekasirika kisa umeaambiwa hakuna utajiri wa kichawi πππUmaskin unamsumbua, mtu anamtegemea mume wa dada amlishe , ana jua nini huyo pimbi, hio kujenga hoja hawez anaweza kusutana kama khadija kopa
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?
Sababu vya halali vina baraka na vyenye kudumu. Hapa akili kubwa tu ndio itaelewa.Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!
Hizi imani za kuamini uchawi ni za kijinga sana , karibu robo tatu ya wachangiaji humu ni kejeli na matusi kisa imani zao za kijinga zimeguswa.
Huyo Mungu kwa nini asizuie hizo ajali zisikutokee kabisa kwenye maisha yako yote ya hapa duniani?
Kwa nini huyo Mungu ana acha ajali zikutokee kisha ndio alete unafiki wake wa kujifanya kutaka kukuokoa?
Kwani huyo Mungu, Alikuwa hajui kwamba hizo ajali zitakuja kukutokea, azidhibiti na kuzizuia mapema kabisa zisije kukutokea?
Thibitisha uwepo wake ili tujue sasaBasi kama kuna mtu Huwa namuona ni mpumbavu ni yule anayesema hakuna Mungu. Kuna vitu vonatia hasira sana.
Nimeumia sana kwa ajili yako. Kwa hiyo na wewe unajiweka kwenye kundi la wanasayansi ambao hawaamini kuwa kuna Mungu.
Hao wanasayansi deep down wanaamini Mungu yupo sema wameshindwa kuthibitisha kisayansi ndio maana wanakana.
Aliyekulisha huo upuuzi wa atheist amekosea sana.