Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

Basi kama kuna mtu Huwa namuona ni mpumbavu ni yule anayesema hakuna Mungu. Kuna vitu vonatia hasira sana.
Wewe pamoja na huyo Mungu wako wote ni Wapumbavu.
Nimeumia sana kwa ajili yako. Kwa hiyo na wewe unajiweka kwenye kundi la wanasayansi ambao hawaamini kuwa kuna Mungu.
Kwa nini uhitaji kuamini Mungu yupo Badala ya kujua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo?

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani ajidhihirishe mwenyewe, yeye kama yeye kwamba yupo kama ana huo uwezo.

Anacho jifichia huko alipo kama mwali ni nini?
Hao wanasayansi deep down wanaamini Mungu yupo sema wameshindwa kuthibitisha kisayansi ndio maana wanakana.
Na wewe Thibitisha uwepo wa huyo Mungu na si imani yako uchwara ya kufikirika tu
Aliyekulisha huo upuuzi wa atheist amekosea sana.
Aliyekulisha huo upuuzi wa kidini na kiimani, Amekupumbaza sana.
 
Si mtalaam katika kuandika ila tuvumiliane mada imekuja wakti muafa wa jira

Kwa africa kuwa ujaone
Unafikiri humu kuna mtoto ambaye hajakua?

Au unafikiri wewe tu ndio umekua kuliko wengine?

Kama una amini kuna utajiri wa kishetani, Kwa nini huku utumia utajirike?
 
Mungu hakosei
Leo nimewasha kidogo tuvumiliane

Mwenyemungu anakupa nafsi nakujaria na body


Haijarishi mzuri mbaya
 
Mungu hakosei
Mungu huyo kama yupo, Basi alikosea sana kuumba dunia yenye uovu na mabaya ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya alikuwa nao.

Mungu huyo alikosea sana kuumba binadamu wenye uwezo wa kutenda mabaya, ilhali angeweza kuumba binadamu wasio weza kufanya mabaya.

Mpaka hapa inadhihirisha wazi kwamba Mungu huyo kama yupo, amesha kosea sana.

Na hafai kuwa Mungu.
Leo nimewasha kidogo tuvumiliane

Mwenyemungu anakupa nafsi nakujaria na body


Haijarishi mzuri mbaya
Hakuna Mungu anayejalia kitu chochote kile.

Mungu huyo mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
 
Mungu hakosei
Leo nimewasha kidogo tuvumiliane

Mwenyemungu anakupa nafsi nakujaria na body


Haijarishi mzuri mbaya
Short cut uchaaei upo sana
Code gani acha unafiki
Awali ya yote mwamba muumba na mmiliki vyote vilivyopo dunia nisamehe kwa kukushirikisha
Mungu huyo kama yupo, Basi alikosea sana kuumba dunia yenye uovu na mabaya ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya alikuwa nao.

Mungu huyo alikosea sana kuumba binadamu wenye uwezo wa kutenda mabaya, ilhali angeweza kuumba binadamu wasio weza kufanya mabaya.

Mpaka hapa inadhihirisha wazi kwamba Mungu huyo kama yupo, amesha kosea sana.

Na hafai kuwa Mungu.

Hakuna Mungu anayejalia kitu chochote kile.

Mungu huyo mmemtunga vichwani mwenu tu, Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Umekwama we siku ukikoswa na kuti la mnazi au ajari yoyote ndio utajua mungu yupo
 
Umekwama we siku ukikoswa na kuti la mnazi au ajari yoyote ndio utajua mungu yupo
Huyo Mungu kwa nini asizuie hizo ajali zisikutokee kabisa kwenye maisha yako yote ya hapa duniani?

Kwa nini huyo Mungu ana acha ajali zikutokee kisha ndio alete unafiki wake wa kujifanya kutaka kukuokoa?

Kwani huyo Mungu, Alikuwa hajui kwamba hizo ajali zitakuja kukutokea, azidhibiti na kuzizuia mapema kabisa zisije kukutokea?
 
Mleta uzi punguza hasira. Kila mtu ana stress sema tunakausha kiume. Kuna baadhi ya mambo hapa duniani bora tu usiyajue. Mleta mada furahia tu maisha yako unayoishi kwa sababu kuna mambo hujawa exposed kabisa ndo maana unaandika kama mtoto mchanga na kutaka watu wote wakubaliane nawe. Tulia kijana.
 
Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi.

Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?

Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?

Kamtumie huyo shetani akutajirishe kama ni rahisi hivyo!!

Katoe kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako wote tuone kama biashara yako itakuwa kubwa au utaweza hata kufikia utajiri wa Bakhressa.

Kama kweli kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa Afrika kama Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na matajiri wengine wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos?

Kama kweli unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini hujautumia huo uchawi, ushirikina, uganga angalau ufike hata level za utajiri wa Mo Dewji?

Kama unaamini kuna Shetani akitolewa kafara anatoa mali au atakupa mali za kukutajirisha, Katoe kafara wazazi wako au wanao wote tuone kama hata utafika level za utajiri wa Dangote.

Au kama unaamini kuna utajiri wa ndagu, uganga, ulozi n.k
Mwambie huyo mtoa ndagu au mganga, Akupe utajiri angalau umfikie au umzidi Bakhressa kama ana huo uwezo.

Au mwambie huyo mganga akuwezeshe umiliki private jet ✈️, Kiwanda kikubwa cha uzalishaji, Magari makali ya kifahari kama Rolls-Royce Boat tail, Mercedes Maybach, Buggati, Lamborghini, Cadillac escalade au akishindwa sana angalau akupe Range rover sport kwa uganga wake tu.

Waafrika wengi hasa watanzania wana amini kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina lakini bado maisha yao ni ya kimaskini, kikapuku, kifukara pangu pakavu tia mchuzi.

Kama unaamini au unajua kuna Shetani anatoa utajiri, Kamtumie kwa nguvu zako zote akutajirishe na uwe tajiri kweli, Angalau ufike level za utajiri wa kina Dangote.

Kisha ndio uanze kusema kwamba kuna utajiri wa kishetani.

Habari za utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina, Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya, wajinga, wavivu, makapuku, makabwela na mafukara ambao wanashinda vijiweni na vilabuni waki danganyana na kupeana matumaini uchwara ya utajiri wa kufikirika.

Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani kinacho toa utajiri. Utajiri na pesa hutoka kwa binadamu. Hakuna kiumbe kiitwacho Shetani chenye pesa.

Pesa ni za binadamu, Si za Mungu wala Shetani.

Hakuna Mungu, Shetani, Jini, Pepo au nguvu yeyote ile ya kimiujiza inayotoa Utajiri.

Pesa, Mali na utajiri hupatikana kwa nguvu za kibinadamu na wanadamu.


Ni wajanja wachache tu huwalaghai na kuwadanganya watu wengine kwamba kuna shetani anatoa utajiri ili kuwahadaa na kuwapumbaza watu wajinga wasiotaka kuhustle wenyewe wakitegemea mafanikio ya kuletewa.

Ndio maana unakuta wanawekewa masharti makali ya kupata pesa hizo ambao wao hudhani ndio masharti ya kishetani ya huyo shetani, Kumbe ni masharti ya binadamu wajanja tu.

The supernatural power is You, Yourself.

Hakuna Mungu wala Shetani anayetoa utajiri, pesa au mali.

I'm out.
Unajua wewe kijana ni mjinga sana sijapata kuona ?

Watu hayo mambo hawayafanyia sababu wanajua hatima zake na wanamuogopa Mola aliye juu.

Hao wanaoingia humo ni WAJINGA na wanaamua tu kujitoa ufahamu, ila mtu mwenye akili anajizuia na mambo hayo.
 
Kama kweli kwa hakika unajua na kuamini kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote uwe tajiri mkubwa nchini Tanzania, Afrika na duniani?

Sababu Ushirikina ni jambo baya na mafikio yake ni motoni. Kwanini nifanye jambo ambalo litaniangamiza na kuwa na mwisho mbaya ?

Acha wafanye hao wachache ambao hawajui hatima zao isipokuwa maisha ya Dunia na ufahari.
 
Kwa nini ujihangaishe kufanya kazi na kuchoka ilhali unajua kuna utajiri wa kishetani?
Sababu vya halali vina baraka na vyenye kudumu. Hapa akili kubwa tu ndio itaelewa.

Ukiangalia Dunia tunapita, kwanini tusihangaike na vya halali japo vichache na vyenye baraka?

Kingine una utoto mwingi na maswali yako ya kitoto sana.
 
Hizi imani za kuamini uchawi ni za kijinga sana , karibu robo tatu ya wachangiaji humu ni kejeli na matusi kisa imani zao za kijinga zimeguswa.
 
Hizi imani za kuamini uchawi ni za kijinga sana , karibu robo tatu ya wachangiaji humu ni kejeli na matusi kisa imani zao za kijinga zimeguswa.

Shida machache mnayajua kuliko mengi msiyo yajua. Uchawi upo na ni hakika.

Mjitahidi msiwe mnajadili mambo ambayo hamna elimu nayo. Sababu mnaonekana vituko mno.
 
Huyo Mungu kwa nini asizuie hizo ajali zisikutokee kabisa kwenye maisha yako yote ya hapa duniani?

Kwa nini huyo Mungu ana acha ajali zikutokee kisha ndio alete unafiki wake wa kujifanya kutaka kukuokoa?

Kwani huyo Mungu, Alikuwa hajui kwamba hizo ajali zitakuja kukutokea, azidhibiti na kuzizuia mapema kabisa zisije kukutokea?

Anafanya anavyotaka, na anaruhusu ajali zitokee ndio maana zinatokea.
 
Basi kama kuna mtu Huwa namuona ni mpumbavu ni yule anayesema hakuna Mungu. Kuna vitu vonatia hasira sana.

Nimeumia sana kwa ajili yako. Kwa hiyo na wewe unajiweka kwenye kundi la wanasayansi ambao hawaamini kuwa kuna Mungu.

Hao wanasayansi deep down wanaamini Mungu yupo sema wameshindwa kuthibitisha kisayansi ndio maana wanakana.

Aliyekulisha huo upuuzi wa atheist amekosea sana.
Thibitisha uwepo wake ili tujue sasa
 
Back
Top Bottom