Kweli naona kabisa ndani ya CCM kuna wajane wanamlalamikia sana Mwenyekiti wa Kambo si wahame nyuma tu kama hawaridhiki na Malezi mapya[emoji849] baada ya kifo cha baba yaoAnzisheni chama cha Umoja ‘wa wajane’ Party!
RIP....alisema mtamkumbuka sana na kweli mnaendelea kumkumbuka
Bongo nyoso kweli au ulitak uletewe lami kwako ili ujue kwamb alifanya kazi........Magufuli was the worst president ever happened in this country.
Mungu amuhifadhi sehemu anapona panafaa,lakini nishujaa pekee kwangu.Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo[emoji23] mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Sasa anatokea mvuta bangi na mlevi mmoja ,anajiita Jenerali Ulimwengu Kila siku anakesha mitqndaoni kumtukana JPM.Ukimuuliza huyu Cha pombe Ulimwengu ,alishawahi kufanya nn Cha maana hapa Tanzania hana Cha maana alichowahi kufanya.Anafikiri na sisi ni walevi Kama yeye mzee mpumbavu huyo.Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Anayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo[emoji23] mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Ongeza nyingine jomba ya Kwenda uchumi wa Kati miaka mitano kabla ya malengoAnayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!
Kuna haya mengine kwa nini hutaki kuyataja?!
1. Utekaji wa watu
2. Mauaji ya watu
3. Kupiga watu risasi
4. Kutesa watu
5. Unyanyasaji wa watumishi
6. Kukwapua pesa za watu
7. Kubambikia watu kesi
8. Kuharibu diplomasia
9. Kisigina katiba
10. Kisigina demokrasia
11. Kuvuruga utawala bora
12. Kuvuruga biashara
13. Kudidimiza kilimo
14. Kuharibu uchumi
15. Kupora hazina
16. ONGEZEA MENGINE UNAOGOPA NINI WEWE IBILISI![emoji91][emoji91][emoji91][emoji240][emoji240][emoji240]
17..kiboko ya mafisadi na wahujum uchumiAnayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!
Kuna haya mengine kwa nini hutaki kuyataja?!
1. Utekaji wa watu
2. Mauaji ya watu
3. Kupiga watu risasi
4. Kutesa watu
5. Unyanyasaji wa watumishi
6. Kukwapua pesa za watu
7. Kubambikia watu kesi
8. Kuharibu diplomasia
9. Kisigina katiba
10. Kisigina demokrasia
11. Kuvuruga utawala bora
12. Kuvuruga biashara
13. Kudidimiza kilimo
14. Kuharibu uchumi
15. Kupora hazina
16. ONGEZEA MENGINE UNAOGOPA NINI WEWE IBILISI![emoji91][emoji91][emoji91][emoji240][emoji240][emoji240]
KUPOTOSHA UMMA NA KUTUTUKANISHA WATANZANIA WOTE DUNIANI KWA KUPIMA CORONA KWENYE PAPAI NA MBUZIAnayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!
Kuna haya mengine kwa nini hutaki kuyataja?!
1. Utekaji wa watu
2. Mauaji ya watu
3. Kupiga watu risasi
4. Kutesa watu
5. Unyanyasaji wa watumishi
6. Kukwapua pesa za watu
7. Kubambikia watu kesi
8. Kuharibu diplomasia
9. Kisigina katiba
10. Kisigina demokrasia
11. Kuvuruga utawala bora
12. Kuvuruga biashara
13. Kudidimiza kilimo
14. Kuharibu uchumi
15. Kupora hazina
16. ONGEZEA MENGINE UNAOGOPA NINI WEWE IBILISI![emoji91][emoji91][emoji91][emoji240][emoji240][emoji240]
17..kiboko ya mafisadi na wahujum uchumi
18. Alinunua midege zaidi ya kumi na mbili
19. Aliyakunja majizi ya madini na kufuta mikataba ya wizi iliyokuwa inatetewa na Lissuu
20. Endeleeeni
🤣🤣🤣 Kama alivyodeal na jizi makonda ama yule daraja la juu alafu we kapuku???maana alikua jizi piaAlijua namna ya ku deal na majizi.
Nyumbu hawana uwezo wa kukumbuka, la sivyo wangebadilisha njia ya kuvukia kwenda Masai mara baada ya wenzao kuliwa na mamba mwaka jana.Post ya mwisho ilisemaje..lakini mnasahau Kubenea alishatamka kuwa bw Mbowe anajua Saanane alipo wakamuulize yeye....nashangaa mnasahau mapema hivi
Bushi mbona yupo anadunda akili zenu ni za popoJapo Kuna mema alifanya ila kifo cha yule mzee kweli Mungu aliamua kuingilia kati
Daah nikimkumbuka member mwenzetu wa jamii forum Ben saanane
Daaah hii roho inauma sana hasa ile post yake ya mwisho
Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
magufuli alikuwa raisi bora kabisa tanzania kuwahi kutokea
Sasa anatokea mvuta bangi na mlevi mmoja ,anajiita Jenerali Ulimwengu Kila siku anakesha mitqndaoni kumtukana JPM.Ukimuuliza huyu Cha pombe Ulimwengu ,alishawahi kufanya nn Cha maana hapa Tanzania hana Cha maana alichowahi kufanya.Anafikiri na sisi ni walevi Kama yeye mzee mpumbavu huyo.
Nyumbu hawana uwezo wa kukumbuka, la sivyo wangebadilisha njia ya kuvukia kwenda Masai mara baada ya wenzao kuliwa na mamba mwaka jana.
Bushi mbona yupo anadunda akili zenu ni za popo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app