Una ushahidi..acheni maneno ya kujipikia....vifo mvifanye nyinyi halaf mnamchafulia yeye...Bila kusahau wale walioonja kifo kwa amri yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushahidi..acheni maneno ya kujipikia....vifo mvifanye nyinyi halaf mnamchafulia yeye...Bila kusahau wale walioonja kifo kwa amri yake
Kamfufue uzikwe wewe.Hata Mbowe kwenye speech yake alisema Magufuli alikuwa rais mwenye maono na mchapakazi kwelikweli na kuwataka Chadema waige tabia hiyo kama kweli wanataka maendeleo.
Sasa makelele ya nini kuhusu huyo mfu wenu? Jitu limekufa lipo jehanam linapokea mshahara wake nyie mnatupigia kelele hapaKuunga juhudi kwa kujitoa uhai kumbe inaruhusiwa? nipe kifungu.
Kutoelewa tu ile yadhihirisha me zwazwaa🙌🙌🙌Zwazwa ni wewe, kwanza hukunielewa, nimesema JPM alikuwa na huruma hakuchukua hatua stahiki, mbali na hapo wenye vyeti fake serikalini wamebaki wengi sana wakiwemo mawaziri.
Kwanza ilipaswa wapelekwe mahakamani kujibu mashtaka, nashangaa JPM aliwaacha, mshukuruni kwa hil
Huyu mtu hatatokea rais mwema kama magufuli mpaka yesu arudi. Yaan tulitakiwa kumlinda asipatwe na janga lolote kwa dam ja nyama namlilia nitaendelea kumlilia mpaka naenda kaburini.Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo[emoji23] mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Adolf Hitler aliifanyia mara milioni ya hayo Ujerumani lakini leo tunajua anakumbukwa kwa NiniJapo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Wengi wenu ni wapumbavu na msio penda kuwajibika,..Wengi wanaomsifu Magufuli ni wanafiki. Mimi mtu anayemwaga damu ya mwingine au kumbagua mwingine namfuta kabisa. Karma ilimuondoa huyo katili na mbaguzi.
Binafsi magu amenifundiaha kuipenda sana tanzania, amenifundisha kufanya kazi kwa bidii, amenifundisha uzalendo mkubwa sanaWengi wenu ni wapumbavu na msio penda kuwajibika,..
Mpingaji wa Magufuli yeyote, ni lazima awe mzembe, mwizi, mpiga madili,