Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
Uliwapima? au story za vijiweni?Dalili ya mvua ni mawingu,wakati corona ilikuwa inaenda na viongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwapima? au story za vijiweni?Dalili ya mvua ni mawingu,wakati corona ilikuwa inaenda na viongozi
NI KWELI ACHA NA TUFANYE % BILION 1Upo sahihi 6000%
kwa nini ufanyiwe haya?Anayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!
Kuna haya mengine kwa nini hutaki kuyataja?!
1. Utekaji wa watu
2. Mauaji ya watu
3. Kupiga watu risasi
4. Kutesa watu
5. Unyanyasaji wa watumishi
6. Kukwapua pesa za watu
7. Kubambikia watu kesi
8. Kuharibu diplomasia
9. Kisigina katiba
10. Kisigina demokrasia
11. Kuvuruga utawala bora
12. Kuvuruga biashara
13. Kudidimiza kilimo
14. Kuharibu uchumi
15. Kupora hazina
16. ONGEZEA MENGINE UNAOGOPA NINI WEWE IBILISI![emoji91][emoji91][emoji91][emoji240][emoji240][emoji240]
SUKUMA GANGMPAKA SASA AWAMU YA SITA HAINA HATA MRADI MMOJA WALIO ANZISHA. WANAENDELEZA YA JPM!
Kinachosikitisha zaidi katika maelezo yako umemtaja na YesuStory za kwenye vijiwe mkikosa kazi za kufanya, ukiambiwa uelezee kwa ushahidi unachokisema hapa huna pa kuanzia zaidi ya chuki binafsi na story za kukaririshwa.
Kama Yesu kuna kitabu kinasema alikuwa na mwanamke na wakazaa mtoto siwezi kushangaa hiki unachozungumza.
Hata mie niwe raisi ni kufyekelea mbali wapumbavu na majizi machache yanayotaka waTanzania masikini wasote kisa maslahi yao binafsi.
Ukileta mchezo ni kukufyekelea mbali na kukutupa umefungwa kwenye kiroba mpaka akili ziwakae sawa, tena Magufuli alikuwa na huruma.
BORA HII KULIKO SWAHILI GANGSUKUMA GANG
Kuna watu wanasema Yesu alioa, sasa siwezi shangaa kusikia watu wanasema JPM alihonga, JPM aliiba, huwezi mzuia mtu kusema.Kinachosikitisha zaidi katika maelezo yako umemtaja na Yesu
Na unaandika kwa KISWAHILI kuonyesha kuwa wewe ni SWAHILI GANGBORA HII KULIKO SWAHILI GANG
Unaweza tu kuhisi, wasaidizi wake wa ofisi ya rais karibu wote waliondoka na corona.Wewe unafahamu vipi alifariki kwa Corona?
Una roho ngumu sana !hayo ni kwa mujibu wako wewe. Watanzania mlizoea kudekezwa sana alipokuja mwamba ambaye anawachana makavu mkaona ni raisi mkatili. Kwa sasa unahitaji raisi zaidi Magufuli kuliko kitu chochote.
Hakuna maendeleo yeyote kwa sasa zaidi ya kugawana mabilioni ya kodi kwa njia za posho na semina pamoja na mikutano ya kumsifia mama.
Watu wanaiba hela na rushwa imerudi na kutamalaki mno. Huu ndio utaratibu ambao wengi mnaupenda ila hautusogezi kokote kama taifa. Kodi zinakusanywa na tozo kibao ila nchi iko pale pale.
Worst na nyokooo...[emoji852][emoji852]
Hata lile dhalim lilikuwa jizi sanaMajizi kinachowafaa ni kamba tu ama risasi za vichwani, wengine mliobaki akili iwakae sawa.
Kifungu gani cha sheria kinazuia kuunga juhudi za mzalendo aliyeko jehanam?Tungeenda wengi sana sema tu hairuhusiwi kisheria.
We ni mkundooh tu sababu kwanini usingesema akiwa hai.
Aliiba nini, utaanza story za trillion 1.5 kama wenzako wa vijiweni 😁... enhee hio trillion 1.5 una ushahidi upi aliiba?Hata lile dhalim lilikuwa jizi sana
Utawaweza waTanzania kwa unafiki na majungu.We ni mkundooh tu sababu kwanini usingesema akiwa hai.
Wanafiki kweli yani wao nzuri mbaya ....mbaya nzuri ndio style ya maisha yao mpakua kifoUtawaweza waTanzania kwa unafiki na majungu.
Ndio point yao kubwa😀😀😀Aliiba nini, utaanza story za trillion 1.5 kama wenzako wa vijiweni 😁... enhee hio trillion 1.5 una ushahidi upi aliiba?
SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI, Kifungu namba 216.Kifungu gani cha sheria kinazuia kuunga juhudi za mzalendo aliyeko jehanam?