Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hoja hupingwa kwa hojaWe ni mkundooh tu sababu kwanini usingesema akiwa hai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja hupingwa kwa hojaWe ni mkundooh tu sababu kwanini usingesema akiwa hai.
AgwelinaNdio point yao kubwa😀😀😀
Hio nayo ni hoja ama kihoja.Hoja hupingwa kwa hoja
Hiyo umesema wewe na liswalo lipoAliiba nini, utaanza story za trillion 1.5 kama wenzako wa vijiweni [emoji16]... enhee hio trillion 1.5 una ushahidi upi aliiba?
Hakuna sheria hiyo wewe woga wako tuSHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI, Kifungu namba 216.
Bei mpya za mafuta na gharama za maisha zimekuchanganya.Hiyo umesema wewe na liswalo lipo
Uko sawa kama ulizaliwa baada ya mwaka 2000 na kwamba Tanzania ilipata uhuru mwaka 2015 toka kwa Waingereza. Haya nenda ukanye halafu ukalale maana huo ndiyo uwezo wa ubongo wakoJapo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Kuunga juhudi kwa kujitoa uhai kumbe inaruhusiwa? nipe kifungu.Hakuna sheria hiyo wewe woga wako tu
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni....Mungu ni Shahidi kwa mema makubwa ya yule mzee.. RIP..
Unajuaje kua MUNGU aliingilia kifo cha JPM? Iwapo siyo ufedhuri huu unaongea, ukimkumbuka huyo member una uhakika gani na unacho maanisha?Japo Kuna mema alifanya ila kifo cha yule mzee kweli Mungu aliamua kuingilia kati
Daah nikimkumbuka member mwenzetu wa jamii forum Ben saanane
Daaah hii roho inauma sana hasa ile post yake ya mwisho
Utakua wewe ni mwehu mwehuWATU WASIOJULIKANA
UFISADI WA KIHISTORIA (TRILLION 1.5 ZINAPOTEA GHAFLA NDANI YA MWAKA WA KWANZA WA HAPA KAZI TU)
MIILI KUOKOTWA KWA SANDARUSI.
KUJENGA INTERNATIONAL AIRPORT KIJIJINI KWAKE.
KUBAKA UCHAGUZI 2020
KUNUNUA WAPINZANI.
KUMPIGA RISASI TUNDU LISU.
KUFUNGIWA VYOMBO VYA HABARI.
KIFO CHA BEN SAA NANE NA AZORY.
YES HUYU NDO RAIS BORA ZAIDI KULIKO WOTE.
"HEY WAITER NIongezee konyagi jibapa niende zangu kulala"
Naikumbuka hio speech ya mbowe 👏👏👏Hata Mbowe kwenye speech yake alisema Magufuli alikuwa rais mwenye maono na mchapakazi kwelikweli na kuwataka Chadema waige tabia hiyo kama kweli wanataka maendeleo.
Kamanda ukipata nafasi muulize kuhusu rais wa nchini kwao, Paul Kagame. Tungependa kusikia anamsemaje.
Wewe zwazwaaa umejaza nini huko kichwani, Makonda na vyeti feki kapewa mkoa aongoze,bado unapiga kelele eti wenye vyeti feki, get your head checked mate😏😏😏Wenye vyeti vya ku forge bado mnapata shida sana, Magufuli alikuwa na huruma, wengine tungewakaanga kwenye vikaango kama samaki, hakuna kuleta ushenzi kwenye maslahi mapana ya taifa.
China majizi yananyongwa mi nashangaa sana mnadekezwa hapa, lazima nidhamu kazini iwepo.
Zwazwa ni wewe, kwanza hukunielewa, nimesema JPM alikuwa na huruma hakuchukua hatua stahiki, mbali na hapo wenye vyeti fake serikalini wamebaki wengi sana wakiwemo mawaziri.Wewe zwazwaaa umejaza nini huko kichwani, Makonda na vyeti feki kapewa mkoa aongoze,bado unapiga kelele eti wenye vyeti feki, get your head checked mate😏😏😏