Hakuna wa kunishawishi: Hayati Magufuli ni Rais bora wa awamu zote

Hakuna wa kunishawishi: Hayati Magufuli ni Rais bora wa awamu zote

WATU WASIOJULIKANA
UFISADI WA KIHISTORIA (TRILLION 1.5 ZINAPOTEA GHAFLA NDANI YA MWAKA WA KWANZA WA HAPA KAZI TU)
MIILI KUOKOTWA KWA SANDARUSI.
KUJENGA INTERNATIONAL AIRPORT KIJIJINI KWAKE.
KUBAKA UCHAGUZI 2020
KUNUNUA WAPINZANI.
KUMPIGA RISASI TUNDU LISU.
KUFUNGIWA VYOMBO VYA HABARI.
KIFO CHA BEN SAA NANE NA AZORY.

YES HUYU NDO RAIS BORA ZAIDI KULIKO WOTE.

"HEY WAITER NIongezee konyagi jibapa niende zangu kulala"
Suala la kununua wapinzani, jomba una ushahidi wowote..sababu sijawah sikia mpinzani yoyote aliyehama kwamba alipewa pesa..unadhan kwanini hakuna mtu kama huyo aliyejitokeza...tuwe wakweli Basi tusitunge maneno.
 
17..kiboko ya mafisadi na wahujum uchumi
18. Alinunua midege zaidi ya kumi na mbili
19. Aliyakunja majizi ya madini na kufuta mikataba ya wizi iliyokuwa inatetewa na Lissuu
20. Endeleeeni
21. Alisafisha mjengoni kwa kuhakikisha manyumbu yote out, hadi mwamba wao.
 
Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati

kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere

Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.

Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Hangaya na crew yake yote wanalijua hilo.
 
Kila mmoja abaki na msimamo wake hakuna shida. Tukubaliane katika kutokukubaliana
 
Hata Mbowe kwenye speech yake alisema Magufuli alikuwa rais mwenye maono na mchapakazi kwelikweli na kuwataka Chadema waige tabia hiyo kama kweli wanataka maendeleo.
 
konyagi inakusumbua jitu lisilofata Sheria ni zuri katika uongozi
 
Mi binafsi kila raisi amefanya kazi yake,hakuna raisi Bora kuliko mwengine,kila mmoja ana mabaya na mazuri yake!Anzia Jk Nyerere mpaka Leo hii Mama Samia.

Ubaya na ukatili tunao sisi washabikiaji wa kisiasa, wanasiasa wa nchi hii wametufanya sisi mazombi.
 
Story za kwenye vijiwe mkikosa kazi za kufanya, ukiambiwa uelezee kwa ushahidi unachokisema hapa huna pa kuanzia zaidi ya chuki binafsi na story za kukaririshwa.
Kama Yesu kuna kitabu kinasema alikuwa na mwanamke na wakazaa mtoto siwezi kushangaa hiki unachozungumza.

Hata mie niwe raisi ni kufyekelea mbali wapumbavu na majizi machache yanayotaka waTanzania masikini wasote kisa maslahi yao binafsi.

Ukileta mchezo ni kukufyekelea mbali na kukutupa umefungwa kwenye kiroba mpaka akili ziwakae sawa, tena Magufuli alikuwa na huruma.
Yaani kwa uharo huu hatufiki
 
Wenye vyeti vya ku forge bado mnapata shida sana, Magufuli alikuwa na huruma, wengine tungewakaanga kwenye vikaango kama samaki, hakuna kuleta ushenzi kwenye maslahi mapana ya taifa.

China majizi yananyongwa mi nashangaa sana mnadekezwa hapa, lazima nidhamu kazini iwepo.
Hatimaye jizi la Chato likanyongwa na corona
 
Suala la kununua wapinzani, jomba una ushahidi wowote..sababu sijawah sikia mpinzani yoyote aliyehama kwamba alipewa pesa..unadhan kwanini hakuna mtu kama huyo aliyejitokeza...tuwe wakweli Basi tusitunge maneno.
Rushwa ni adui wa haki.
 
Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati

kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere

Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.

Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
Barikiwa kwa kuwa tu Mkweli kwa hili.
 
Back
Top Bottom