blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Mnaweweseka sanaHata Mbowe kwenye speech yake alisema Magufuli alikuwa rais mwenye maono na mchapakazi kwelikweli na kuwataka Chadema waige tabia hiyo kama kweli hwanataka maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaweweseka sanaHata Mbowe kwenye speech yake alisema Magufuli alikuwa rais mwenye maono na mchapakazi kwelikweli na kuwataka Chadema waige tabia hiyo kama kweli hwanataka maendeleo.
17..kiboko ya mafisadi na wahujum uchumi
18. Alinunua midege zaidi ya kumi na mbili
19. Aliyakunja majizi ya madini na kufuta mikataba ya wizi iliyokuwa inatetewa na Lissuu
20. Endeleeeni
Alijua namna ya ku deal na majizi.
Sasa anatokea mvuta bangi na mlevi mmoja ,anajiita Jenerali Ulimwengu Kila siku anakesha mitqndaoni kumtukana JPM.Ukimuuliza huyu Cha pombe Ulimwengu ,alishawahi kufanya nn Cha maana hapa Tanzania hana Cha maana alichowahi kufanya.Anafikiri na sisi ni walevi Kama yeye mzee mpumbavu huyo.
Ongeza nyingine jomba ya Kwenda uchumi wa Kati miaka mitano kabla ya malengo
magufuli alikuwa raisi bora kabisa tanzania kuwahi kutokea
wapuuzi hawakosekani😂Magufuli was the worst president ever happened in this country.
Hayo yote hayabadilishi ukweli kuwa alifanya majukumu yake vizuri kama kiongozi. Magufuli hakuwa puppet wa UK kama watawala.WATU WASIOJULIKANA
UFISADI WA KIHISTORIA (TRILLION 1.5 ZINAPOTEA GHAFLA NDANI YA MWAKA WA KWANZA WA HAPA KAZI TU)
MIILI KUOKOTWA KWA SANDARUSI.
KUJENGA INTERNATIONAL AIRPORT KIJIJINI KWAKE.
KUBAKA UCHAGUZI 2020
KUNUNUA WAPINZANI.
KUMPIGA RISASI TUNDU LISU.
KUFUNGIWA VYOMBO VYA HABARI.
KIFO CHA BEN SAA NANE NA AZORY.
AKAKOPA TRILLION 29 huku akitudanganya fedha ni za ndani.
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019 UPINZANI WOTE WAKAAMBIWA WAMEKOSEA KUJAZA FORM.
MAXENCE MELLO MARK ZUCKERBERG WETU AKAWA ANASHINDA NDANI MPAKA NA MAHABASU AKAWEKWA KISA JAMII FORUM.
VIFARANGA NAVYO VIKACHOMWA MOTO BILA HATIA.
YES HUYU NDO RAIS BORA ZAIDI KULIKO WOTE.HAPO MBINGUNI HUYU MWAMBA YUKO PEMBENI NA YESU WANAKAA MEZA MOJA KWA KWELI.
"HEY WAITER NIongezee konyagi jibapa niende zangu kulala"
hayo ni kwa mujibu wako wewe. Watanzania mlizoea kudekezwa sana alipokuja mwamba ambaye anawachana makavu mkaona ni raisi mkatili. Kwa sasa unahitaji raisi zaidi Magufuli kuliko kitu chochote.Anayesema hakuna alichofanya ni muongo wa Kiwango cha lami!
Kuna haya mengine kwa nini hutaki kuyataja?!
1. Utekaji wa watu
2. Mauaji ya watu
3. Kupiga watu risasi
4. Kutesa watu
5. Unyanyasaji wa watumishi
6. Kukwapua pesa za watu
7. Kubambikia watu kesi
8. Kuharibu diplomasia
9. Kisigina katiba
10. Kisigina demokrasia
11. Kuvuruga utawala bora
12. Kuvuruga biashara
13. Kudidimiza kilimo
14. Kuharibu uchumi
15. Kupora hazina
16. ONGEZEA MENGINE UNAOGOPA NINI WEWE IBILISI![emoji91][emoji91][emoji91][emoji240][emoji240][emoji240]
Ben saanane amefanyaje?Japo Kuna mema alifanya ila kifo cha yule mzee kweli Mungu aliamua kuingilia kati
Daah nikimkumbuka member mwenzetu wa jamii forum Ben saanane
Daaah hii roho inauma sana hasa ile post yake ya mwisho
Ila awamu ya Jk alichofanyiwa Dr ulimboka ukikumbuka hakikuumk???Japo Kuna mema alifanya ila kifo cha yule mzee kweli Mungu aliamua kuingilia kati
Daah nikimkumbuka member mwenzetu wa jamii forum Ben saanane
Daaah hii roho inauma sana hasa ile post yake ya mwisho
Teh teh teh 🤣🤣🤣noma sanaYote 9, 10 ni kwamba hawa wana ni kiboko[emoji3577]
[emoji116][emoji116]View attachment 2283952
Ni mawazo yako,lazima yaheshimiwe ila na wewe heshimu mitazamo ya watu wengine.Japo amesha lala usingizi wa mauti lakini kaacha watu wanaweweseka tu kila siku wanajaribu kuonesha kuwa hakuna alichofanya lakini wakigeuka huku wanaona midege ya ATCL huku wanaona hospitali za Kanda, za rufaa, vituo vya afya na zahanati
kule wanaona mradi wa SGR, mara mradi wa Stglers, mara Meli zakisasa kule Victoria, mara upanuzi wa bandari za Dar, Tanga na Mtwara kwa maramoja, mara upanuzi wa viwanja vya ndege Songwe, Mtwara, Bukoba, JK Nyerere
Mara barabara za lami kila kona, mara serikali kuhamia Dodoma, mara ujenzi wa mji wa serikali Dodoma, mara ujenzi wa mpya ikulu Dodoma, mara nidhamu maofisini, mara kuyavutisha pumzi yamoto mafisadi na vibaraka,
mara ujenzi wa stand zakisasa Dar, Dom nk, mara kawatimua wazungu na korona ya mchongo😂 mara kufumua mikataba ya kipumbàvu ya madini na bandari ya Bagamoyo khaaa, mpaka nimechoka ku type.
Kwakweli acha waendelee kuweweseka ila mzee Mwinyi Alisha maliza kuwa Magufuli kwa muda wa miaka 5 amewafunika wote, halafu mwamba hajawahi kwenda kujipendekeza huko ughaibuni. Viva JPM.
SEMA CCM MAMA MNAMUONEA BURE.Bibi tozo kaleta ugumu wa maisha mtaa mpaka tumeanza kuheshimiana
Umeona mbali mtu wa Mungu.Tanzania hatujawahi kuwa na rais asiyefaa Kama alivyokuwa Magufuli, Ni bahati tu kwamba hakukaa miaka mingi kama wenzake vinginevyo tungekuwa na historia kama Ile ya Amin kwa Uganda
Story za kwenye vijiwe mkikosa kazi za kufanya, ukiambiwa uelezee kwa ushahidi unachokisema hapa huna pa kuanzia zaidi ya chuki binafsi na story za kukaririshwa.Maana alikuwa jizi pia. Huwezi kuhonga nyumba za serikali hawala yako.
Wenye vyeti vya ku forge bado mnapata shida sana, Magufuli alikuwa na huruma, wengine tungewakaanga kwenye vikaango kama samaki, hakuna kuleta ushenzi kwenye maslahi mapana ya taifa.🤣🤣🤣 Kama alivyodeal na jizi makonda ama yule daraja la juu alafu we kapuku???maana alikua jizi pia
Unazungumzia vifaranga wale waliokuwa na mafua ya ndege..Sasa ulitaka walete ugonjwa TanzaniaUkweli mchungu ni kwamba Mungu aliamua kuingilia kati Daah nikimkumbuka wale vifaranga walio chomwa moto mwenyezi Mungu amsamehe magufuli marehemu asemwi vibaya