Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

DungaMawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
1,522
Reaction score
4,630
Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.

1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka  TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.

2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.

3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.

4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku

.
download-1.jpg
download.jpg
images.jpg
 
Halafu 39yrs sio mzee hajafika 46 mtu 46 kuendelea ndio umuite shuga mamy huyo anaitwa Dada samahani 25 kupanda hadi 45yrs ni wakina dada sasa wewe jichanganye akusikie unamuita shuga mamy utaona chamoto anakublock .

Ila mapenzi ya pesa unakufa mapema mapenzi yakujaliana unaishi kwa muda mrefu.
Yapoje hayo mapenzi ni hivi mpenzi wako hadi akwame kwa kitu ndio aseme sio hadi hereni unamnunulia kweli nikero .
Ila kumtunza unamtunza unajitolea kwakweli kwa kumfanya ang'ae
 
Halafu 39yrs sio mzee hajafika 46 mtu 46 kuendelea ndio umuite shuga mamy huyo anaitwa Dada samahani 25 kupanda hadi 45yrs ni wakina dada sasa wewe jichanganye akusikie unamuita shuga mamy utaona chamoto anakublock .

Ila mapenzi ya pesa unakufa mapema mapenzi yakujaliana unaishi kwa muda mrefu.
Yapoje hayo mapenzi ni hivi mpenzi wako hadi akwame kwa kitu ndio aseme sio hadi hereni unamnunulia kweli nikero .
Ila kumtunza unamtunza unajitolea kwakweli kwa kumfanya ang'ae
Motivisionspeker mpo kila mahali
 
Back
Top Bottom