dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kwako raha maana 'wewe unapokea'Ndio ila ukipata mtu yupo fresh nanimuelewa ni raha sana yaani
njoo Tabata apa upate pork
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwako raha maana 'wewe unapokea'Ndio ila ukipata mtu yupo fresh nanimuelewa ni raha sana yaani
Chuga natabata wapi nawapikwako raha maana 'wewe unapokea'
njoo Tabata apa upate pork
my badChuga natabata wapi nawapi
mpwayungu village umeanza kutumia ID fakeKatika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.
1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.
3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.
4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
Story yangu aihusiani na huyo jamaampwayungu village umeanza kutumia ID fake
Usijali kawaidamy bad
Basi mtakua mna unduguStory yangu aihusiani na huyo jamaa
🤣🤣🤣 shimo shimoni unabaki kukuna kichwa tu chumbani alone.Usisahau kuwa hao wana ukimwi
Nakuunga mkono mkuu.Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.
1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.
3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.
4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We jamaa mbingu itaiona kwa kupiga chabo
Umeupiga mwingi mkuu!!! 😅 😅😅Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.
1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.
3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.
4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
JiendekezeKatika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.
1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.
3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.
4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636
Ndo maana nilisema mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena ukute ni wale wanaokupa hadi mtando pendwa...utaona dunia ni yako
Ulisema nini tena mrembo?Ndo maana nilisema mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]