Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.

1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka  TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.

2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.

3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.


4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
mpwayungu village umeanza kutumia ID fake
 
Kwangu mm nafikiri happyness matters. ..haijalishi nimkubwa au mdogo. ..kumbuka 85% ya tz niwakipato cha kati na chini so mostly ya maisha yawaliowengi utawapatia humo. ..kupata anaehitaji nauli nikawaida kwakua wengine km wapenda papuchi hampo kwenye bajeti zao so if you need utampatia hizo nauli nasabuni zakuondoa jasho akirejea nasupu yakesho yake
 
Usisahau kuwa hao wana ukimwi
🤣🤣🤣 shimo shimoni unabaki kukuna kichwa tu chumbani alone.

Aisee kuna mwaka flani nilijihisi nimeukwaa kwa Sugar mammy mmoja hivi basi nikakaa for almost one year najiangalia tu litakalotokea.

Kuna mshkaji wangu yeye hapendagi haya mambo aisee nilimuona shujaa katika kipindi kile kifupi tu
 
Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.

1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka  TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.

2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.

3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.


4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
Nakuunga mkono mkuu.
 
Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.

1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka  TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.

2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.

3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.


4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636View attachment 2345638
Umeupiga mwingi mkuu!!! 😅 😅😅
 
Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.

1. Kwanza wanajua mapenzi na wasafi wa kiwango cha SGR, unakula tunda lile lenye viwango vya ubora toka  TBS yani ile kitu grade 1 tofauti na hivi visichana hata kufua chupi havijui.

2. Siyo wasumbufu hata kidogo mnapopanga appointment hufika kwa wakati na hata wakichelewa wanakua na sababu za kueleweka. Hakuna mambo ya mama yupo nyumbani, mara utume nauli, akuambie gari imepata ajali wamekufa wote. Yani huku hizo mambo hakuna.

3. Kwenye kupewa kipochi manyoya hakuna usumbufu ni uwezo wako tu unajipimia tani zako. Huku hakuna UTI, kaswende.


4. Kwenye kupewa ushauri wa maisha yaani huku nakula nondo za kutosha, yaani toka niwe naye maisha yangu yanabadilika siku hadi siku.View attachment 2345635View attachment 2345636
Jiendekeze
 
Back
Top Bottom