Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

Siku mtakapo nikuta mbinguni naona nyie wote wa jf mtakufa kwa kihoro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dunia inaenda kasi, zamani vijana walikua wanatafuta bikira sasa hivi wanatafuta super used zenye mileage ya kutosha.
 
🤣🤣🤣 shimo shimoni unabaki kukuna kichwa tu chumbani alone.

Aisee kuna mwaka flani nilijihisi nimeukwaa kwa Sugar mammy mmoja hivi basi nikakaa for almost one year najiangalia tu litakalotokea.

Kuna mshkaji wangu yeye hapendagi haya mambo aisee nilimuona shujaa katika kipindi kile kifupi tu
Nilimpoteza kaka yangu kipenzi enzi hizo kwa kuwa Karibu na limama ati wanasoma wote, kumbe lilikuwa limefiwa na mumewe kwa ngoma. Mazoea yaka afanya waanze kulana akapata miaka hiyo ARv bado. K za bure ni ghali ajabu
 
Uzi kama huu ndo ndo ile hali umepokea kamshahara unajipitia zako maeneo flani halafu unaskia kamziki kanapiga, katika hali ya kusema wacha nione nini kinaendelea....unatokaga hapo asubuhi bila hata nauli.
 
Nilimpoteza kaka yangu kipenzi enzi hizo kwa kuwa Karibu na limama ati wanasoma wote, kumbe lilikuwa limefiwa na mumewe kwa ngoma. Mazoea yaka afanya waanze kulana akapata miaka hiyo ARv bado. K za bure ni ghali ajabu
Ukimwi wanao sana na dsm masugar mummy wengi wanapenda kujiendeleza kielimu hasa walimu. Daah wengine wana bill ya maziwa jioni kila siku na kikohozi kwa mbaliii(jiongeze mkuu)🤣🤣🤣🤣
 
Nilimpoteza kaka yangu kipenzi enzi hizo kwa kuwa Karibu na limama ati wanasoma wote, kumbe lilikuwa limefiwa na mumewe kwa ngoma. Mazoea yaka afanya waanze kulana akapata miaka hiyo ARv bado. K za bure ni ghali ajabu
Pole sana mkuu lakin ukimwi saiv mpaka wasichana wa secondary na huko vyuo ndo usiseme kikubwa ni kumuomba mungu atunusuru
 
Ngoja niagize boda aende kwa zigo langu kunichukulia laki 2 kwa show maalum ninalolipa kwa mwezi laki 2
 
Dunia inaenda kasi, zamani vijana walikua wanatafuta bikira sasa hivi wanatafuta super used zenye mileage ya kutosha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana mkuu lakin ukimwi saiv mpaka wasichana wa secondary na huko vyuo ndo usiseme kikubwa ni kumuomba mungu atunusuru
Upo sahihi maana wengine wamerithi toka kwa mama zao kabla au baada ya kuzaliwa. Ila watoto kujiingiza kwa mama zao ni khatari sana maana hii inaeneza ukimwi bila huruma. Afadhali Nega na Nandy maana angalau wanalingana, si ulibeba limama na ukaukwaa
 
Ta
Usisahau sugar mammy hao kuwa wana ukimwi
...........Kwa mujibu wa Bw Ndugulile asilimia 40 ya maambukizi mapya ni vijana, ambapo katika asilimia hiyo 40.

.........“Changamoto imekuwa wanaume wengi hawajitokezi kupima kwa sababu ya uoga na vitu vingine, lakini takwimu pia zinaonesha kuwa maambukizi mengi mapya kwa sasa ni kwa vijana”, amebaini Naibu Waziri wa Afya wa Tanzania.

Imechapishwa na IRF, 14/11/2019 - 07:12
 
Mimi kama mama yako nimesikitishwa hili jambo,
kwani Mwanangu ulikosa wa umri wako Hadi utafute aliekuzidi?
 
Ta

...........Kwa mujibu wa Bw Ndugulile asilimia 40 ya maambukizi mapya ni vijana, ambapo katika asilimia hiyo 40.

.........“Changamoto imekuwa wanaume wengi hawajitokezi kupima kwa sababu ya uoga na vitu vingine, lakini takwimu pia zinaonesha kuwa maambukizi mengi mapya kwa sasa ni kwa vijana”, amebaini Naibu Waziri wa Afya wa Tanzania.

Imechapishwa na IRF, 14/11/2019 - 07:12
Masugar mami hao wanakuwa wameathirika na wapo katika database. Vijana ndiyo wenye maambukizi mapya toka kwa Sugar mami. Hivyo andiko lako linaakisi ukweli wa statement yangu
 
Back
Top Bottom