Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, chuoni!?Nilimpoteza kaka yangu kipenzi enzi hizo kwa kuwa Karibu na limama ati wanasoma wote, kumbe lilikuwa limefiwa na mumewe kwa ngoma. Mazoea yaka afanya waanze kulana akapata miaka hiyo ARv bado. K za bure ni ghali ajabu
Hiyo Aya ya mwisho, ni kweli usemacho!? Duh itakuwa noma mbonaUpo sahihi maana wengine wamerithi toka kwa mama zao kabla au baada ya kuzaliwa. Ila watoto kujiingiza kwa mama zao ni khatari sana maana hii inaeneza ukimwi bila huruma. Afadhali Nega na Nandy maana angalau wanalingana, si ulibeba limama na ukaukwaa
Kwa hiyo kama Wana ukimwi wewe utaishi milele, unaweza ukawa mzima ukafa na bado ukawaacha wenye ukimwiUsisahau kuwa hao wana ukimwi
Siwezi kuthibitisha maana hiyo ni siri yao. Ila Ruge alikuwa ni Mchumba wa NandyHiyo Aya ya mwisho, ni kweli usemacho!? Duh itakuwa noma mbona
Ulishawahi kuuguza aliyeathirika? Au unapata ujasiri wa Keyboard tuKwa hiyo kama Wana ukimwi wewe utaishi milele, unaweza ukawa mzima ukafa na bado ukawaacha wenye ukimwi
Hakuna mtu atakayeishi milele huo ndo ukweli uwe huna ukimwi au unao hutaishi milele unaogopa ukimwi umeshamuona mgonjwa wa Kansa au kisukari wanavyotesekaUlishawahi kuuguza aliyeathirika? Au unapata ujasiri wa Keyboard tu
Usiwe kama walokole ambao wanadai wanapenda kwenda kwa Baba Mbinguni, wakati njia ya kumfikia ni kifo. Ila wakiungua wanakimbilia hospitali. Kinga ni bora katika maisha.Hakuna mtu atakayeishi milele huo ndo ukweli uwe huna ukimwi au unao hutaishi milele unaogopa ukimwi umeshamuona mgonjwa wa Kansa au kisukari wanavyoteseka
We ndo hunatofauti na walokole ambao wanaogopa ukimwi wakidhani wataishi milele ndo weweUsiwe kama walokole ambao wanadai wanapenda kwenda kwa Baba Mbinguni, wakati njia ya kumfikia ni kifo. Ila wakiungua wanakimbilia hospitali. Kinga ni bora katika maisha.
Amekuambia majimama matamu,fanya umuongezee utamu na wewe.Mimi kama mama yako nimesikitishwa hili jambo,
kwani Mwanangu ulikosa wa umri wako Hadi utafute aliekuzidi?
Mimi sio jimama nipo kwenye kundi la mabintiAmekuambia majimama matamu,fanya umuongezee utamu na wewe.
Anakuwa anakuhudumia wewe hadi na mkuyenge wako. Age doesn't matter39 ana u-sugarmami gani tena?