Hakuna wanawake watamu na wanaojua mapenzi kama sugar mumy

mpwayungu village umeanza kutumia ID fake
 
Kwangu mm nafikiri happyness matters. ..haijalishi nimkubwa au mdogo. ..kumbuka 85% ya tz niwakipato cha kati na chini so mostly ya maisha yawaliowengi utawapatia humo. ..kupata anaehitaji nauli nikawaida kwakua wengine km wapenda papuchi hampo kwenye bajeti zao so if you need utampatia hizo nauli nasabuni zakuondoa jasho akirejea nasupu yakesho yake
 
Usisahau kuwa hao wana ukimwi
🤣🤣🤣 shimo shimoni unabaki kukuna kichwa tu chumbani alone.

Aisee kuna mwaka flani nilijihisi nimeukwaa kwa Sugar mammy mmoja hivi basi nikakaa for almost one year najiangalia tu litakalotokea.

Kuna mshkaji wangu yeye hapendagi haya mambo aisee nilimuona shujaa katika kipindi kile kifupi tu
 
Nakuunga mkono mkuu.
 
Umeupiga mwingi mkuu!!! 😅 😅😅
 
Jiendekeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…