aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Wakuu kwanza mimi siyo mlevi,
Ila Hakuna watu wenye ubinadamu kama walevi.
Anzia wachungaji, maaskof mpaka polisi.
Ukipata shida fulani watafute kwanza walevi.
Walevi wa pombe, bangi n.k
Hawa watu wakisaidia wanasaidia kweli kweli bila kinyongo.
Hongereni sana walevi.
Ila Hakuna watu wenye ubinadamu kama walevi.
Anzia wachungaji, maaskof mpaka polisi.
Ukipata shida fulani watafute kwanza walevi.
Walevi wa pombe, bangi n.k
Hawa watu wakisaidia wanasaidia kweli kweli bila kinyongo.
Hongereni sana walevi.