kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
nikupe buku ukalogee hiyohiyo wewe kunywa kula malipo niachie nakwenu utafika[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Utanunuliwa bia mpaka za 50000 lakini ukiomba buku uweke mfukoni hawakupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikupe buku ukalogee hiyohiyo wewe kunywa kula malipo niachie nakwenu utafika[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Utanunuliwa bia mpaka za 50000 lakini ukiomba buku uweke mfukoni hawakupi
nikupe buku ukalogee hiyohiyo wewe kunywa kula malipo niachie nakwenu utafika[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Utanunuliwa bia mpaka za 50000 lakini ukiomba buku uweke mfukoni hawakupi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amina sana..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuan watu wanaroho ngumu kama wale wanaojiita walokole aisee yani mtu anajaza uwanja kwa wat wanotoa sadaka lakini hata orphanage hajengi..!!
Siku hizi wenyeshida hawaendi kanisani tena.. wanakuja kuomba Bar kwa walevi so unachokisema ni sahihi sanaaaa
Haya ni matusi chalii😂😂Mimi nikiwa na wana wa kitaa kwanza tunakula pumbu za mbuzi/kondoo halafu tunaanza kunywa nax za kushanta mchana tunakula pua na masikio ya kitomoto kwa washalala hapo cheka ung'atwee tunaendelea kulewa.
Ili tutapike vizuri zile smirn offwalevi hawanunuliagi watu chakula wewe uje umeshiba tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo hizo beer sio roho nzuri
Eti zungusha[emoji23][emoji1787]Hata nyama hawanunui utasikia....
Zungushaaàa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unanitumbukiza ulevini tena iwe roho nzuri 😂😂Kwahiyo hizo beer sio roho nzuri
Oyoo we lete tuu sweetieMimi nanunua msosi baby. Na jax nakupa
Poa baby njoo basiOyoo we lete tuu sweetie
Babe nakumiss kinyama yani. Ulienda wapi?
KwendaBabe nakumiss kinyama yani. Ulienda wapi?
Nahuzunika dear