[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Utanunuliwa bia mpaka za 50000 lakini ukiomba buku uweke mfukoni hawakupiWapi wewe, wanasaidia kunywa tu pombe ila sio Cash [emoji389]
Amina sana..[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu kwanza mimi siyo mlevi,
Ila Hakuna watu wenye ubinadamu kama walevi.
Anzia wachungaji, maaskof mpaka polisi.
Ukipata shida fulani watafute kwanza walevi.
Walevi wa pombe, bangi n.k
Hawa watu wakisaidia wanasaidia kweli kweli bila kinyongo.
Hongereni sana walevi.
Hata nyama hawanunui utasikia....[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Utanunuliwa bia mpaka za 50000 lakini ukiomba buku uweke mfukoni hawakupi
Hujawahi kukukatana na mimi bana usiongee tu.Wapi wewe, wanasaidia kunywa tu pombe ila sio Cash [emoji389]
walevi hawanunuliagi watu chakula wewe uje umeshiba tuHata nyama hawanunui utasikia....
Zungushaaàa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo hizo beer sio roho nzuriAtakununulia bia sana lakini hata jero hakupi..
Roho nzuri gani hiyo?
Mimi nikiwa na wana wa kitaa kwanza tunakula pumbu za mbuzi/kondoo halafu tunaanza kunywa nax za kushanta mchana tunakula pua na masikio ya kitomoto kwa washalala hapo cheka ung'atwee tunaendelea kulewa.Atakununulia bia sana lakini hata jero hakupi..
Roho nzuri gani hiyo?
Mimi nanunua msosi baby. Na jax nakupaMlevi utalewa mpaka uchoke lakini siyo akupe pesa ukale ugali Nyumbani. Wengine watakupa pesa vikiwa vimeshapanda kichwani.