Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nyinyi ndio watu wake mnapewa vijisent akisemwa mabaya yake hapa mnakuja na uzi kumpongezaHakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova
Awekwe pembeniHakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova
Ummy Mwalimu ni kimeo na hajiamini na ndio maana usiku kucha mchana kucha ni kujifanyia promo kwenye makamera na ku-recruit watu wa kumfanyia promo kwenye mitandao, Shame on her!!Awekwe pembeni
Mmh.Hakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova
huyu aliyejaza marafiki nafasi za uteuzi! mkuu wa wilaya mwigizaji wa vichekesho Tanga hukoAnajitahidi...
Ana sifa za kijinga anajengaje madarasa halafu walimu hakuna? Mwambie aajiri walimu.Hakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova
Hii ni promo kama promo zingine tu. Lakini sa hivi anazidi kulamba miguu ya watoa madaraka, kuna mawaziri ni wapiga kazi sema si wa media, mf. Lukuvi na AwesoHakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova
Yule hata msukuma na kibajaji wanamzidi sijui ana elimu gani anatuharibia elimu msingi anafit kwenye kupigia wenzake kampeni siyo kuongoza wizaraHakuna waziri anayefanya kazi kwa bidii kama Ummy Mwalimu, anastahili pongezi zote anajitahidi sana.
No doubt for this.
She's working hard.
Maamuzi aliyochukua kuhusu uhamisho wawatumishi ni sahihi kabisa. No doubt for this.
Uzi umeishia hapa. Ova