Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Ha haha lema??
Njoo huku...
Mambo mazuri yahusike....
Mkuu nimekuwa mlowezi huku, ninapofika korogwe tu kama naja Dar, natamani nigeuze Ar...joto linanishinda siku hizi, yaani nikaapo wiki moja tu naona kama mwaka. Nitakuja jan kwa muda mfupi sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shogangu don't you think you are little harsh? Nadhani ni masikhara jamani lol tusijekuwa tunaofanya utani hapa tunakukera
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shogangu don't you think you are little harsh? Nadhani ni masikhara jamani lol tusijekuwa tunaofanya utani hapa tunakukera
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Relax Khantwe wangu,yameshapita haya.
And I wish ungeniona hapa ninavyocheka.
Niko happy kuliko unavyofikiri...
Wewe na wa aina yako hamjawahi/hamnikeri,nawapenda sana.[emoji8]
 
Mkuu nimekuwa mlowezi huku, ninapofika korogwe tu kama naja Dar, natamani nigeuze Ar...joto linanishinda siku hizi, yaani nikaapo wiki moja tu naona kama mwaka. Nitakuja jan kwa muda mfupi sana
Ha haha....tunaivaa tuu na hili jotoo..
 
[emoji23] [emoji23] that's a relief nlitaka kutoka mbio. Nakupenda pia my dia Mungu akujalie wewe na shem na akatie mkono wake katika kila mlipangalo
 
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
thank u hny...am happy happy for u
kutoka ndani ya sakafu ya moyo wangu!
nakuombea sana sana Mungu awapaiganie ktk hili shetani yupo nanyi.

mtapata changamoto nyingi ndani na nje ya jf...

sio kila mtu anawapenda kidhati hilo mlitambue..

kuna wanafiki pia na visokorokwinyo watakaoingilia mapenzi yenu

Ila nifah we ni mwanamke pigania mumeo ndoa ni sacrifice...
 
that's my gal nifah[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Hahaha nilijua tu nitaitwa hater! Sasa hapo ninachohate ni nini? Au why niwe hater?

Hebu nipe sababu moja tu ya Mimi kuwa hater. Nimekosa nini hapo unapopababaikia?!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] don't be like that please ...

haina haja bwana..

ulikua wapi siku zote hizoo...
aiseeh
 
[emoji23] [emoji23] that's a relief nlitaka kutoka mbio. Nakupenda pia my dia Mungu akujalie wewe na shem na akatie mkono wake katika kila mlipangalo
Amen [emoji120]
Ubarikiwe Khantwe mpenzi,Mungu akubariki ktk mahusiano yako pia.
 

Awwwwww jamani gen,nakupenda mnooooo, yani sana sana.

Asante kwa ushauri mwanana kabisa,nitaufanyia kazi na kuzingatia kila neno uliloniambia.

Nimejisacrifice kwa penzi hili,tutadumu na you'll be proud of me Sisy.

Thank you [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Duuuuhh kumbe siku nyingi amekuchana ananipenda, basi amenisumbua sana mpaka kusema YES, kupiga piga kona sana yani [emoji23] [emoji23]

Usijali Sista, I really love her! Mdogo wako yuko kwenye mikono Salama kabisa..
hakusemaga jina Ila nilikua natamani kumjua japo hakunitajia

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kawaida ya binti kupiga kona si unajua jf msitu lazima uwe makini

kuna watu na nyang'au humu pia

nimefurahi kujua hilo and I do promise u ntashirikiki kikamilifu ktk ndoa yenu...

msingi taarifa tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…