Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hadi sasa najiona malkia mkuu. The bold make me feel like a natural woman.
Kijana sio mtu wa mchezo mchezo [emoji6] [emoji85]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu The bold kwa heshima kubwa tunaomba umuandalie bibie andiko moja ambalo kila Siku litamfanya ajione kama mtoto mchanga anaedeka kwa mama yake,

Ni wazi sasa nifah uzee utausikia tu kwa talanta ya Mr from today you will be aging backwards
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu The bold kwa heshima kubwa tunaomba umuandalie bibie andiko moja ambalo kila Siku litamfanya ajione kama mtoto mchanga anaedeka kwa mama yake,

Ni wazi sasa nifah uzee utausikia tu kwa talanta ya Mr from today you will be aging backwards

Sure
Sio kwa furaha hii...forever young [emoji4]
 
Tupo wengi aisee yaani watu wabaya sana hawa tangu nimepata habari ya hii couple sijaweza kupata usingizi[emoji13] ..haiwezekani wachaguane wao kwa wao. Nifah alitakiwa apate mwanaume boyaboya hivi na huyu shemeji apate mwanamke mjingamjinga hivi kama mimi ili kubalansi[emoji85]
Khantwe wewe hauna mtu??
 
Hadi sasa najiona malkia mkuu. The bold make me feel like a natural woman.
Kijana sio mtu wa mchezo mchezo [emoji6] [emoji85]
Mama usimsifie sana ,watamnyanyukia wima The Bold hutaamini ,
Na shogazo wakija uwaweke kibarazani huko

[emoji38]
 
Wooooww.!! Thank you so much wakuu..

Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]

Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..

Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..

Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..

Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..

Tunawapenda sana!

# TheBold's
Aisee..
 
Back
Top Bottom