Lelyonka
Senior Member
- Apr 14, 2021
- 156
- 154
Nimesoma, hakika nimefadhaika sana moyoni. Jamani tuombeane ILI Kila mtu Aishi Kwa kumpendeza MUNGU.Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe