Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe
Nimesoma, hakika nimefadhaika sana moyoni. Jamani tuombeane ILI Kila mtu Aishi Kwa kumpendeza MUNGU.
 
Wale wadudu wanatafuna na kuozesha yaan unatafunwa nyeti zako na kidonda kinaoza tu kinakua donda ndugu halisikii dawa ukiona picha watu walivyoliwa utaelewa, na ukioza unaanza kuvuja usaha tu na kujipangusa usaha ndio maana ikaitwa Pangusa na kupepea mainzi

Kuna ndugu yangu aliugua kaswende ndio nilipoona haya magonjwa hayafai, ni zaidi ya mateso, ingia Google syphilis utaelewa namaanisha nini
Hiyo pangusa ina dawa/tiba ?

Kalpana
 
Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
Duh!..ulijitibu na sindano zipi chief ?....unachoma kwa muda gani ?
 
Hiyo pangusa ina dawa/tiba ?

Kalpana
Pangusa ndo jina lingine la kisonono/gonorrhea..

Zamani ilikua inatibika kwa urahisi ila kwa sasa wadudu wamepata usugu umefanya bacteria aka advance na kufanya ugonjwa uwe Super gono...

Kuhusu matibabu unatibika ila kwa muda mrf sana wataalamu wanasema unaweza ona umepona kumbe hujapona vzr...kuna mijisindano ndo nasikia inaumaliza..

Proved
 
Sindano za mbwa tu ndio dawa
Pangusa ndo jina lingine la kisonono/gonorrhea..

Zamani ilikua inatibika kwa urahisi ila kwa sasa wadudu wamepata usugu umefanya bacteria aka advance na kufanya ugonjwa uwe Super gono...

Kuhusu matibabu unatibika ila kwa muda mrf sana wataalamu wanasema unaweza ona umepona kumbe hujapona vzr...kuna mijisindano ndo nasikia inaumaliza..

Proved
 
Back
Top Bottom