Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
unakaguaje na anataka taa izimwe 😂Ndo hivyo uikague kague... hahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakaguaje na anataka taa izimwe 😂Ndo hivyo uikague kague... hahahah
Acha uje upunguze watu kujamiaana Kama wanyama ,kulana sas hv siyo kitu Cha Siri watu Muda wote wanajadili ngono tu kina haji wanaoa kila kukicha SAS kwanin panguza isije ipunguze minyanduanoHuo ugonjwa upo mbona kitambo, unaitwa pangusa! Kwani umerudi tena?
Saafi San dad angu kwa taadhari hi imeeleta hapa ubarikiwe ndio maan huwa nakupendaga hunaga mbamabambaNa wanawake mpk kuonesha dalili ni baadae sana ashawaambukiza wa kutosha...
Sema peku ni sweet sana,ila inatubidi tuwe tunalazimishana kupima
Najisikiaga fresh tuUlishaonja ukajua utamu ukoje, kwani ulijisikiaje hata hivyo .
Ndo muache kuzama aisee.Nimeona picha la kutisha sana leo [emoji38]
NionesheSanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Yaani sasa ni kwamba kifupi watu tusigegedane tutafute starehe nyingineUnapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
Duh kwa hali hii wacha tuache kuzama chimvini. Naona muda wa kuokoka umefika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa kavu kavu, watapitiwa nao km upepo wa kisuli suli.Na hii ni kwa sbb ugonjwa umekua sugu hausikii dawa tena..hatari sana sana ugonjwa wa aibu huu unatembea na shuka
Hapana aisee ebu tupia pichaSanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Mlipiga kavu?Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
Kitu hicho hapo, Super!Kuna sehemu nipo naona this week mwendo wa (Cefixime 400mg stat and Azithromycin 1g stat )umeongezeka na ni mkoa wa mpakani na Kenya..
Watu tuwe makini aisee.
Ukiona Kuna harufu isiyo kawaida, usizame. Zama tu pale unapoona harufu Ni ya kawaida.Ndo muache kuzama aisee.
Mi hata kumbusu mwanamke nimesitisha,huwa nasingizia nina gingivastis
hahahahahaDose lake ndio noma 🤣🤣🤣🤣 usaha unaotoka inabidi uvae pad kama demu 🤣🤣🤣🤣
Nimeogopa aisee 🤣🤣🤣Ni kitulia na mmoja tu ndio njia ya Mungu kukuepusha bila hivyo lolote linatokea.. 😀😀