Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Na condom hainogi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Live ama kwenye video za mafundishoSanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Duh kwa hali hii wacha tuache kuzama chimvini. Naona muda wa kuokoka umefika
Wokovu siuwezi mieAmina na uokoke kweli ndugu yangu
Haya bhana Dunia imeishaDuh kwa hali hii wacha tuache kuzama chimvini. Naona muda wa kuokoka umefika
Hiyo ya chini ni k au
Niliona mmoja midomo imeisha eti hosp akaambiwa ana kaswende.
Pigeni deki majengo yaliyosajiliwa.
mi mzeeHivi umeolewa....
Ukipata kisukari utafanyaje mkuu?sasa unaishi ili iweje wakati kitendea kazi hakipo tena
Kapicha please!Unapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
Huo ugonjwa ndio nauogooa kuliko ata ukimwi....yaani ata soda sinywi sasa raha ya dunia ikowapiUkipata kisukari utafanyaje mkuu?