Nimesoma, hakika nimefadhaika sana moyoni. Jamani tuombeane ILI Kila mtu Aishi Kwa kumpendeza MUNGU.Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe
Tuombe sana MUNGU atuepushie.Kinasubiri wadhamini ili kienee
Mwee tusijidanganye my dear wanawake kwa wanaume kutulia na mmoja ni impossible kwa dunia ya sasa. Wee hapa tuombee yesu aje ata kesho tuuKwani si umtafute mmoja utulie jamani?
Zitaje hizo sababu na sisi tuzifahamu.Kilichonifanya nichane na kuruka ruka ni sababu za kiroho nlizopata in deep from the source different from these common religious
Hiyo pangusa ina dawa/tiba ?Wale wadudu wanatafuna na kuozesha yaan unatafunwa nyeti zako na kidonda kinaoza tu kinakua donda ndugu halisikii dawa ukiona picha watu walivyoliwa utaelewa, na ukioza unaanza kuvuja usaha tu na kujipangusa usaha ndio maana ikaitwa Pangusa na kupepea mainzi
Kuna ndugu yangu aliugua kaswende ndio nilipoona haya magonjwa hayafai, ni zaidi ya mateso, ingia Google syphilis utaelewa namaanisha nini
Ndio ipo Ila wadudu hawasikii dawa si ndio unaambiwa sasa wamekua Super Gono
Duh!..ulijitibu na sindano zipi chief ?....unachoma kwa muda gani ?Nikiwa muhanga nimemaliza ku do usiku , alfajiri kitu imeitika usahaa huo kama mikojo na nilikuwa natakiwa kuanza safari ya kurudi home, na mwenzangu huwa anatabia ya ku nitest nikifika, ilibidi nibadilishe route hadi nilipo pona ndio nikarudi home.. na karibia wote tuliokuwa nao kwenye kazi walipata kifurushi chao.. tofauti kabisa na Dar
Kipochi manyoya kikiliwa kinakuaje sasa?? Panaziba au linakua kama donda.
Na mkuyenge ukipukutika haubaki hata wa kukojolea, na pumbu zao hupukutika??
Tunakushukuru daima na popoteHapo vizuri...kuwa na patner mmoja ni vyema na haki
Pangusa ndo jina lingine la kisonono/gonorrhea..
We ni daktari nn mbona mrembo af unaongea mambo mazito sanaSyphilis haina mabalaa kama gono..mabalaa namaanisha madonda kama yanayotoka ukiwa na gono..syphilis mtu anaweza kuwa nayo akakaa hata miezi 3 na isionyeshe dalili...Just google and have some education...
Pangusa ndo jina lingine la kisonono/gonorrhea..
Zamani ilikua inatibika kwa urahisi ila kwa sasa wadudu wamepata usugu umefanya bacteria aka advance na kufanya ugonjwa uwe Super gono...
Kuhusu matibabu unatibika ila kwa muda mrf sana wataalamu wanasema unaweza ona umepona kumbe hujapona vzr...kuna mijisindano ndo nasikia inaumaliza..
Proved
Yani natamani kutangaza nia ila kwa hii mada hadi naogopa, jimbo nimelielewa ila dah🤣🤣🤣Hahahahah nina ka knowledge na mambo ya Afya mkuu.