ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nakuzingua min akeeHauwezi amini mimi tumbo huwa linanisumbua hasa nikila vyakula vya kukaanga kinyume na hapo labda mafua na kichwa , kwa nini ushangae hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuzingua min akeeHauwezi amini mimi tumbo huwa linanisumbua hasa nikila vyakula vya kukaanga kinyume na hapo labda mafua na kichwa , kwa nini ushangae hili?
😊😊Hata mm nakuamini mbona?
Hapana mimi nihusianishe na watoto wazuri wa kike tu🤣🤣🤣🤣Wewe na Gilly Gru...😃😃
Ndio ephen nimesikia rahaKasikia raha ulivyonitaja
Kuacha ngono ngumu kwa rijal mizigo kama posh qeen ikipita mbele yako unaiachaje sometime inakutaka yenyeweNa uache ngono holela...
HahahaUnapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
Tupe picha tuoneSanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
HahahaNa hii ni kwa sbb ugonjwa umekua sugu hausikii dawa tena..hatari sana sana ugonjwa wa aibu huu unatembea na shuka
NaamKuna tafiti zimefanyika kwa watumiaji wa ARVs inaonyesha kuwa HIV( the virus) imetengeneza usugu ( resistance) wa madawa yaliyopo sokoni. TLD inaanza kushindwa kupunguza viral load, maana yake dawa mpya zitahitajika sokoni.
Kwa kifupi kutibu HIV inaanza kuwa ngumu.
Tuendelee kutumia kinga na kujali afya.
DuuhKuna tafiti zimefanyika kwa watumiaji wa ARVs inaonyesha kuwa HIV( the virus) imetengeneza usugu ( resistance) wa madawa yaliyopo sokoni. TLD inaanza kushindwa kupunguza viral load, maana yake dawa mpya zitahitajika sokoni.
Kwa kifupi kutibu HIV inaanza kuwa ngumu.
Tuendelee kutumia kinga na kujali afya.
HahahaHuu ugonjwa umekuja Kenya Kwa sababu ya ujinga wao wamekubali maabara za kibaiolojia za wamarekani zikae kwao
Sema Sindano za Kinga Zake zipo Mimi nlishachoma hizo Sindano Za Hepatitis B miaka 3 ilopita na Kamwe Siuzagi mechiCondoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out