PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Kaa chonjo mkuu hapo manyanya pasije pakakupotezaHaha nilijifanya sijaona huu uzi naona uneamua kunishtia tena 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa chonjo mkuu hapo manyanya pasije pakakupotezaHaha nilijifanya sijaona huu uzi naona uneamua kunishtia tena 😀
Hebu tuonyeshe maana huenda huwa tunajua fasheni kumbe tatizoSanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Hebu tupe somo ulilolipata la kiroho mkuu ukafanikiwa kuacha ngono holela mkuu labda litasaidia humu...hiyo mipicha nshakutana nayo nikiwa na umri mdogo sana, sijui walikuwa NGOs za kupambana na magonjwa ya zinaa, walkuwa wanaonyesha sinema usiku uwanjani.
Sana sana zilinitia kinyaa tu, ila abdalah kichwa wazi akiita nasahau vyote nasijawahi kupata hata upele mpaka leo hii.
Kilichonifanya nichane na kuruka ruka ni sababu za kiroho nlizopata in deep from the source different from these common religious. Ambazo kwa hiki.kizazi cha dijitali hawawezi kuzielewa hata iweje wanasubiri wasikie kutoka BBC na CNN, na sosho netiweki.
U.T.I sugu kila siku...
Niwadokeze kidogo kwa sasa kansa ya koo inawatesa na kuwaondoa sana wanaume...
Be careful dear brothers
Kansa ya koo itakuwa inasababishwa na kunyonya mbususu eeh sio?U.T.I sugu kila siku...
Niwadokeze kidogo kwa sasa kansa ya koo inawatesa na kuwaondoa sana wanaume...
Be careful dear brothers
Mi hayo mambo ya kunyonyana sitaki kabisa ni hatari sana unaenda kutibu vitu vya hatari mwisho wa siku ni aibu hata kwa jamiiMambo mengi including oral sex
Oral sex ndio nn embu fafanua Kalpana ndio ina kuaje yani 😄Mambo mengi including oral sex
Mambo ya kulamba lamba huko kwa bibi.Oral sex ndio nn embu fafanua Kalpana ndio ina kuaje yani 😄
Unakuwaje? 😮 😲 !?!?Sanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Ebhanaeeeeee maelezo yameshiba nakutunuku uDr kuanzia leo wewe ni daktareee mkareeee 🔥Mambo ya kulamba lamba huko kwa bibi.
Na ikumbukwe huko kuna bacteria wengi wale harmful na wasio harmful...sasa hao ambao sio harmful ni kwa sbb wanaishi ktk mazingira hayo na hawaleti tatizo ila wakitoka hapo wakahama sehemu ambayo sio hyo wanaleta madhara makubwa hapo uchanganye na gono labda analo ukalihamishia mdomoni...pita picha itakuwaje
Hii ina apply kwa both me na ke..ila wahanga wakubwa ni me