Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Condoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Oohh oooo..
 
Condoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Vipi na Yale majasho ya wachezaji mpira wakiwa wanacheza?
Au majasho kugusana kwenye daladala?
 
Condoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Daah hii HEPATITIS B ni janga na hatari kuliko ukimwi...kuna mkaka aliumwa jamani tulisoma nae chuo alikua ameoa hana hata mwaka alikonda aliiisha huwezi amini ni yeye alifariki kwa mateso makubwa ila cha kushangaza mkewe na mtt mp leo wapo sijui zile chanjo ziliwork kwao...hapa sijaelewa
 
Back
Top Bottom