Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Mapema tu likija sababu inakuwa ishapatikana yakuwa safe distance.Hahahaha unajiwahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema tu likija sababu inakuwa ishapatikana yakuwa safe distance.Hahahaha unajiwahi
Oohh oooo..Condoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Vipi na Yale majasho ya wachezaji mpira wakiwa wanacheza?Condoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Daah hii HEPATITIS B ni janga na hatari kuliko ukimwi...kuna mkaka aliumwa jamani tulisoma nae chuo alikua ameoa hana hata mwaka alikonda aliiisha huwezi amini ni yeye alifariki kwa mateso makubwa ila cha kushangaza mkewe na mtt mp leo wapo sijui zile chanjo ziliwork kwao...hapa sijaelewaCondoms vipi hazizuia hiyo gono? Au kwa wale kavu kavu, alafu kuna ugonjwa mbaya sana mwingine wa ini Hepatitis B, ugonjwa hatari sana huu kama hujapata chanjo, uki sex na mtu tu mwenye nayo hata jasho lake anakuambukiza.. Watch out
Acha kututisha bwanaMnapenda sana vipochi manyoya ndo nawatahadharisha kabisa nawapenda mjuee
Ungemjua uyo aliyemueka ,Wala jamaa hajamaanisha anasaliSali sana mkuu
Muombe jina lake uende Google ucheki maajabu yakeKUmbeee duuh
Sanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Mungu atuepushie kwakweli kipenziNdo hivyo besty