rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Huu ugonjwa umekuja Kenya Kwa sababu ya ujinga wao wamekubali maabara za kibaiolojia za wamarekani zikae kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile maabara zilizokuwa Ukraine wamezihamishia nchi mbalimbali ikiwemo Kenya na ndio wanatumia kutengeneza magonjwa mbalimbaliKivipi mkuu...elezea kidogo
Vipi na Yale majasho ya wachezaji mpira wakiwa wanacheza?
Au majasho kugusana kwenye daladala?
Bwanaa...hapa ngono zembe ndo tatizo watu watake care hakuna cha maabara wala nini... magonjwa mengi yanatengenezwa ni biashara kubwa duniani
Unapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
Hiki ndo kikubwa mkuuKama huo ugonjwa upo Kenya kama alivyosema mtoa mada ina maana wale soon utaingia Tanzania kupitia Mikoa ya pembezoni ya Arusha,Mara, Kilimanjaro, Tanga then soon DSM 🙆
Ukifika DSM basi Pwani, Morogoro then Dodoma.
Ukitoka Dodoma -Iringa-Njombe-Mbeya kutokea hapo Tanzania nzima.
Let's play safe guys 🙌
Gono sio NdoaSuper gono inakuita
Daah hii HEPATITIS B ni janga na hatari kuliko ukimwi...kuna mkaka aliumwa jamani tulisoma nae chuo alikua ameoa hana hata mwaka alikonda aliiisha huwezi amini ni yeye alifariki kwa mateso makubwa ila cha kushangaza mkewe na mtt mp leo wapo sijui zile chanjo ziliwork kwao...hapa sijaelewa
Sawa sawa nimekuelewaHepatitis b ikikupata inategemea na dna yako pamoja na immunity yako ilivyo.
Kuna watu wakipata tu inawaua fasta. Na kuna watu wakipata immunity zao zinapambana nayo mpaka hepatitis inapona kabisa.
Watu wengi hawajapata chanjo ila hepatitis haiwaui..
Wengine virusi vinakuwa ina active.. wakipima virusi vipo ila ugonjwa hauwatesi mpaka wanazeeka
Usishupaze shingo mkuuHuo ugonjwa upo mbona kitambo, unaitwa pangusa! Kwani umerudi tena?
Magonjwa mengine nuksi Sana, Sasa ikiondoka na Mzee wa kazi hapa shughuli na Bibi yenu itakuwaje? 🙆Hiki ndo kikubwa mkuu