To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kuna kichaa amebwatuka Leo mchana,ati hata ukijifanya unakijua na kuongea sana kiingereza bado wewe ni mwafrika😝Nyang'au bado zinaamini katika wazungu.
Wanajivunia Sana kiingereza kuliko kiluhya,Kikuyu,Kikamba au hata Kijaluo!😁