To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sema peku ni sweet sana,ila inatubidi tuwe tunalazimishana kupimaWazee wa pekupeku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema peku ni sweet sana,ila inatubidi tuwe tunalazimishana kupimaWazee wa pekupeku
Mkuu joka hana spare huyu 😅Wazee wa pekupeku
Ngono zembe ni hatariNgono ni mbaya sana wakuu
Mmmh!Sio kwamba ulipotea ila umejenga himaya baada ya kupata usugu wa dawa..kwa sasa unaitwa Super Gono
bado natathimini!Usishupaze shingo mkuu
Gono linazuiwa kwa kusali? Mbona mnamchezea Mungu?Sali sana mkuu
Asilimia Zaid ya 90 wagonjwa wa hepatitis b wanapona ni wachache hawaponiDaah hii HEPATITIS B ni janga na hatari kuliko ukimwi...kuna mkaka aliumwa jamani tulisoma nae chuo alikua ameoa hana hata mwaka alikonda aliiisha huwezi amini ni yeye alifariki kwa mateso makubwa ila cha kushangaza mkewe na mtt mp leo wapo sijui zile chanjo ziliwork kwao...hapa sijaelewa
Zuio ni kuacha zinaa. As simple as that!Asali apate hekima na ufahamu...ndo zuio lenyewe
vitu gan hivi tena, mods uzi una strong images ufutwe
Jesuuu!🙆
Nyang'au bado zinaamini katika wazungu.Zile maabara zilizokuwa Ukraine wamezihamishia nchi mbalimbali ikiwemo Kenya na ndio wanatumia kutengeneza magonjwa mbalimbali
😂tulia Dawa ikukolee😝vitu gan hivi tena, mods uzi una strong image ufutwe
Mbona shida hiyoNa bibi nae itapangusa yaaanii...
Yah magonjwa mengi yaliua sana miaka ya nyuma..ref HIVMbona shida hiyo
Miaka ya '70 kulizukaga maradhi ya namna hiyo hiyo, yalikuwa yanatesa Sana na tuliyaita Pangusa.
Kutibiwa ilikuwa shida Sana kutokana na uduni wa teknologia na Utaalamu.
Umakini unahitajika kwa kweli