Mkuu nakubaliana na wewe.........mwenye data atupe.............leteni quantitative data sio qualitative.Mpaka sasa sijaona habari ya uhakika. NIko na VODCA hapa lakini nashindwa kuiinywa sababu taarifa sijaipata.
jamani jimbo la kawe nani ameshinda ubunge?
Hongera dada dada ,una msimamo
nkukumbuka ulipokuwa mtoto ukifanya kazi special reserve pale maktaba mlimani ,ulivyokuwa hutishwi na ndevu kwa kusimamia ukweli u deserve, i