Elections 2010 Hali halisi kabla ya kutangazwa matokeo majimbo ya Dar

Elections 2010 Hali halisi kabla ya kutangazwa matokeo majimbo ya Dar

Mpaka sasa sijaona habari ya uhakika. NIko na VODCA hapa lakini nashindwa kuiinywa sababu taarifa sijaipata.
Mkuu nakubaliana na wewe.........mwenye data atupe.............leteni quantitative data sio qualitative.
 
sitaki kusikia vituko huko ubungo.................mnyika alishashinda muda mrefu ila uhuni wa ccm unasababisha kuchelewa kutangazwa
 
Watabana wataachia...subiri tu mkuu. Ni kama yale ya Arusha mjini na Maswa Mashariki na magharibi.
 
Of course yes bila kujitolea mhanga hatuwezi kupata mabadiliko tunayotaka.......ccm wako tayari kumwaga damu ya watz ili tu washinde.......walimwanaga na kunywa damu kule zanzibar bado wanataka roho zingine........tuko tayari kwa ajili ya c\vizavi vilivyopo na vijavyo
 
Ninashindwa kuelewa kujumlisha matokeo ya Ubungo wakati vituo vyote wana figure zake.Kama calculator hawana wanaweza kutumia hata simu za mkononi.

Kweli jamani kama si kuchezea amani tangu asubuhi hawajaweza kujumlisha yote na kutangaza?
 
Wananchi wa jimbo lile bado wapo na nec jino kwa jino hadi kieleweke.
 
Kivuitu Kiravu tangaza matokeo hata kama ni ya kuchakachua ili cha moto kionekane. Ila jueni hayo mabomu ya kutoa machozi yatawaliza watanzania leo kama mtakavyolia siku zijazo maana huu ni mwanzo tu. Silaha ya ukombozi bado ni SLAA akiongoza people's vengeance against corruption.
 
......Hongera zake Halima, jamani vp Kilombero kwa dada Regina Mtema? Naye kapita au?
 
Hongera dada dada ,una msimamo
nkukumbuka ulipokuwa mtoto ukifanya kazi special reserve pale maktaba mlimani ,ulivyokuwa hutishwi na ndevu kwa kusimamia ukweli u deserve, i

You mean she can be our future presidaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom