katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Kumbe ninmvaa jeans na t-shirt!Mimi nadhani shida ni kupata tu,
maana swala la kuowa sio kama kununua Nguo kwamba useme kesho naenda shop nachangua jeans moja kali na T-shirt
Manara kaongeza Mke wa tatu Jana, maana yake alimuona akamtamani akampa mistari akamwagiwa huno akakolea, ndoa.Hata wenye mke zaidi ya mmoja hutamani...
Dogo nakupa ushauri:Katika kumpenda mtu huwa kuna vitu vingi sanaaa na tunatofautiana.
Kuna Wavulana wanaona mwanamke mwenye makalio makubwa ndiye anabamba sana na Wapo wengine hupenda wanawake modell au Wembamba..
mwengine hivo vyote haangalii unakuta anachojali ni Kukutana na mwanamke fundiiii, yani kitandani mipapaso kama yote kila eneo.. ππ
Na wengine ndo hivo tena yani hawataki mwanamke fundi sana, akifikiri ni Tabia za Malaya.
Wenzangu na mimi sasa Kiss π tu demu akiwa fundi na mtashi kwenye denda ndio basi nakufa naoza.
Sasa dhumuni la kuleta bandiko hili ni kwamba, Binafsi nateseka sana kupata Mwanamke anayeweza kufanya vyote ninavyovitaka, yani kila mwanamke na kasolo zake, mwisho wasiku hadi inapelekea kushindwa kukaa na Manzi mmoja.
Mfano:
Mimi nina Mamanzi wawili Paulina na Irene.
Kwa hawa wawili nikiambiwa yupi unaweza kuowa nitasema Paulina, lakini na Irene sitamani kumuacha.
Ila nadhani Siku nikiowa, nikimvika pete mke wangu nitaacha kuchepuka..
Na kuna wakati nawaza au hawa wote sio.
Mke niliopangiwa kumuowa itakuwa bado sijakutana nae ndio maana sijalidhika na mmoja.
au basi acha niishie hapa, maana Pau na irene wananisumbua sana kichwa nimuache nani na nibaki na nani, sitaki nionekane na cheat mtoto wa mtu. ππππππππππππ
Ndio uweke ndani mama J sasa!! No one is perfect!Hata uzunguke dunia nzima
Kamwe hutompata mwanamke alokamilika kila idara, wote ni wazur vipande vipande.
Hapo ndo umuhimu wa ndoa za mitala ulipo, mababu zetu hawakua wapumbavu kuoa wake wengi.
Asante CillaπMnafikiri hata nanyi huwa mnazo sifa zote tunazozitaka? Unakuta ili umpate mwanaume unaemtaka inabidi uwe nao watatu au wanne, basi tu tunaamua tu kucompromise.
Naam, sahii kabisaNa sisi tunatakiwa tuwapende vipande vipande hivyo hivyo. Mmoja unampendea sura, mwingine tako, mwingine rangi nk
Honestly,Ndio uweke ndani mama J sasa!! No one is perfect!
Nimeshangaa sana mwanangu upo kijana tu ila una chuki balaaSasa babu hili ni jukwaa la Dini kwani..?
acha kunipeleka kwenye uwepo mwingine basi. π€ πππ
Sawa kitukuu cha Mfalme Daudi..uwanja ni wako. Oa hata kumi mkuu.Unawajua wake za Daudi ? na ni mke yupi alimzaa Suleiman? na alimpata vip mama yake na Suleiman?
Kasome nimekupa home work π€