Hali ilivyo nchini Somalia

Hali ilivyo nchini Somalia

Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha mada Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
hawa wanaokotwa kwenye mafuso kila siku hawayaoni hayo maisha bora? wewe tu ndo uliyeona?
 
Mimi ni Tomaso sijaamini chochote ulichoandika bila picha!!

Ungetuwekea picha za jiji la Mogadishu ukaweka na price tag za magunia ya vyakula sokon na petrol station ungepiga picha sehemu ya bei tuone tulinganishe otherwise itakuwa unatumia vibaya kishikwambi cha sensa wakati wenzako wako bize juu ya miti wanasaka network we uko JF.

FAO wametangaza Somalia wanakufa njaa mvua hamna kwa miaka 4 mfululizo inakuwaje bei ya vyakula iwe chini kuliko wanapoagiza? yaani hata mtoto wangu hapa humpati!

kwa uandishi huu usioweka mambo muhimu nafikiri wewe ni Kolo FC oya oya au?
Goja nikuletee ushadi kabisa.maana wengine ni wabishi kuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Huku marehemu, Nchi ina watu waoga sana kuliko nchi yoyote chini ya jua
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?

Sikuwa na nia ya kukujibu lakini ningeacha kuku-quote usingeona post yangu. Nakiri sikufahamu lakini siogopi kukuita MUONGO na MZANDIKI.

Uko sahahi kuhusu bei za vyakula na bidhaa za mafuta. Ziko chini kwa sababu ya ukaribu na vyanzo vikuu vya mafuta. Kwa ujumla bei za hapa ziko chini kwa sababu nchi haina mfumo imara wa kulipa kodi. Bidhaa nyingi zinaingizwa kimagendo. Sehemu yoyote yenye bidhaa za magendo - bei ziko chini. Hii ndio nchi inayoongoza kwa kuingiza bidhaa feki kutoka kwa watengenezaji wa bidhaa za hovyo kutoka nchi ambazo sitazitaja hapa!!

Uongo na uzandiki wako uko katika maeneo haya - barabara na umeme. Na kuwa Somalia inaendelea kuliko Tanzania. Nchi isiyokuwa na maji inazalishaje umeme? Wa mafuta au nyuklia? Au umesikia kampuni ya Beco kutoka uturuki yenye majenereta ndio ukadhani ni issue kubwa?? Nchi hii imejaa wazalishaji wa umeme wa jenereta zinazohudumia mtaa mmoja au miwili na mnamlipa mwenye jenereta!! Nchi hii haina barabara za lami kuunganisha states. Njia kuu ya usafirishaji ni kwa njia ya anga. Na kama unasafirisha kwa barabara kwenda mikoani kwenye barabara za vumbi lazima ufanye kipindi cha kiangazi kwa tena kwa kuwalipa alshabab. Hii ni nchi ambayo haina barabara zinazounganisha nchi jirani.

Waambie wasomaji kuwa njia pekee ya mtu kuingia Somalia ni kwa anga tu. Hakuna reli, barabara wala meli kwenda popote nje ya Somalia.

Hospitali. Asilimia 99 ya hospitali ni binafsi. Ndio unalinganisha na Tanzania?? Serikali haina uwezo hata wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake - inawezaje kuwa na hospitali zinazofanya kazi!! Huwezi kusikia maji ya bomba hapa. Chimba kisima chako.

Ninachukulia post yako kama ni maoni ya mtu anayefika sehemu akawa na dhana zisizokuwa na msingi! Akaondoka na impressions zisizokuwa na facts nyuma yake.

Declaration of interests: Nimeishi nchi hii miaka 11 sasa. Nimeishi hata huko kwenye states, sio Mogadishu tu. Na uliyosema hapa ni uongo mtupu!!
 
Vip Jiji la Mogadishu ni zuri kuliko Dar mkuu?!...just curious to know !

Mkuu, ningekuwa naweza kufananisha na miji yetu ya Tanzania - ungepata picha halisi lakini sitaki watu wa miji hiyo wajione vibaya.

How about this - asilimia 80 ya nyumba za kuishi za wakazi wa Mogadishu ni zile full suit (mabati pande zote). Sasa fikiria hiyo kwenye joto ambalo huenda hadi nyuzi 39!!

Our Dar is heaven compared to this place!! Jamaa kasema uongo mwingi sana!
 
Jiji la Mogadishu ni zuri na limepangika.ila kwa udogo ni dogo ukilinganisha na jiji la Dar

Bro, nimekaribia kukuumbua. Acha uongo!! Nitakuuliza umefika Mogadishu ipi wakati, au AIAA tu. Hata kama ni hapo, hapajapangwa kuliko Dar.

Waambie watu kuwa runway ya uwanja wa ndege wa Mogadishu iko less that 200 meters kutoka private properties!! Halafu unasema huo ni mpangilio.
 
Wewe dada sikia, Mogadishu Somalia nimewahi kufika kwa project maalum. Kuanzia Jaabad hadi Degmada kuna maelfu ya plots zimepimwa na kutengenezwa barabara ila hakuna nyumba wala mkazi yoyote. Kifupi wao miundombinu inaanza alafu watu ndio wanafatia.

Ni maelfu ya plots yapo tupu na bado wanaendelea kupima na kuchonga barabara

Uko sahihi kabisa kuhusu hili. Ninaishi hapa kwa miaka 11 sasa!! Wanapima viwanja na vinatambulika hata kama havijajengwa.

Mleta mada anasema uongo kuwa Somalia imeendelea kwa umeme, barabara, hospitali nk. Anajenga picha kuwa Somalia inatuzidi kimaendeleo. Je unaona hilo ni sahihi?? Sijajua amefika sehemu gani ya nchi hii inayozidi Tanzania, pamoja na ujenzi wetu holela - vipi quality ya nyumba zenyewe?? Nyumba za mabati ndio zinazidi zetu?
 
Somalia umekwenda mbali mno.

Hapo Zenji tu maisha ni matamu kuliko hapa Tozo kantri.

Majambawaka yamekamata fursa.
 
Sikuwa na nia ya kukujibu lakini ningeacha kuku-quote usingeona post yangu. Nakiri sikufahamu lakini siogopi kukuita MUONGO na MZANDIKI.

Uko sahahi kuhusu bei za vyakula na bidhaa za mafuta. Ziko chini kwa sababu ya ukaribu na vyanzo vikuu vya mafuta. Kwa ujumla bei za hapa ziko chini kwa sababu nchi haina mfumo imara wa kulipa kodi. Bidhaa nyingi zinaingizwa kimagendo. Sehemu yoyote yenye bidhaa za magendo - bei ziko chini. Hii ndio nchi inayoongoza kwa kuingiza bidhaa feki kutoka kwa watengenezaji wa bidhaa za hovyo kutoka nchi ambazo sitazitaja hapa!!

Uongo na uzandiki wako uko katika maeneo haya - barabara na umeme. Na kuwa Somalia inaendelea kuliko Tanzania. Nchi isiyokuwa na maji inazalishaje umeme? Wa mafuta au nyuklia? Au umesikia kampuni ya Beco kutoka uturuki yenye majenereta ndio ukadhani ni issue kubwa?? Nchi hii imejaa wazalishaji wa umeme wa jenereta zinazohudumia mtaa mmoja au miwili na mnamlipa mwenye jenereta!! Nchi hii haina barabara za lami kuunganisha states. Njia kuu ya usafirishaji ni kwa njia ya anga. Na kama unasafirisha kwa barabara kwenda mikoani kwenye barabara za vumbi lazima ufanye kipindi cha kiangazi kwa tena kwa kuwalipa alshabab. Hii ni nchi ambayo haina barabara zinazounganisha nchi jirani.

Waambie wasomaji kuwa njia pekee ya mtu kuingia Somalia ni kwa anga tu. Hakuna reli, barabara wala meli kwenda popote nje ya Somalia.

Hospitali. Asilimia 99 ya hospitali ni binafsi. Ndio unalinganisha na Tanzania?? Serikali haina uwezo hata wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake - inawezaje kuwa na hospitali zinazofanya kazi!! Huwezi kusikia maji ya bomba hapa. Chimba kisima chako.

Ninachukulia post yako kama ni maoni ya mtu anayefika sehemu akawa na dhana zisizokuwa na msingi! Akaondoka na impressions zisizokuwa na facts nyuma yake.

Declaration of interests: Nimeishi nchi hii miaka 11 sasa. Nimeishi hata huko kwenye states, sio Mogadishu tu. Na uliyosema hapa ni uongo mtupu!!
Naunga mkono hoja yako mkuu.
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Wajinga watakwambia hamia huko
 
Japo picha kwa karne hii story bila picha sw na takataka tu
 
Sikuwa na nia ya kukujibu lakini ningeacha kuku-quote usingeona post yangu. Nakiri sikufahamu lakini siogopi kukuita MUONGO na MZANDIKI.

Uko sahahi kuhusu bei za vyakula na bidhaa za mafuta. Ziko chini kwa sababu ya ukaribu na vyanzo vikuu vya mafuta. Kwa ujumla bei za hapa ziko chini kwa sababu nchi haina mfumo imara wa kulipa kodi. Bidhaa nyingi zinaingizwa kimagendo. Sehemu yoyote yenye bidhaa za magendo - bei ziko chini. Hii ndio nchi inayoongoza kwa kuingiza bidhaa feki kutoka kwa watengenezaji wa bidhaa za hovyo kutoka nchi ambazo sitazitaja hapa!!

Uongo na uzandiki wako uko katika maeneo haya - barabara na umeme. Na kuwa Somalia inaendelea kuliko Tanzania. Nchi isiyokuwa na maji inazalishaje umeme? Wa mafuta au nyuklia? Au umesikia kampuni ya Beco kutoka uturuki yenye majenereta ndio ukadhani ni issue kubwa?? Nchi hii imejaa wazalishaji wa umeme wa jenereta zinazohudumia mtaa mmoja au miwili na mnamlipa mwenye jenereta!! Nchi hii haina barabara za lami kuunganisha states. Njia kuu ya usafirishaji ni kwa njia ya anga. Na kama unasafirisha kwa barabara kwenda mikoani kwenye barabara za vumbi lazima ufanye kipindi cha kiangazi kwa tena kwa kuwalipa alshabab. Hii ni nchi ambayo haina barabara zinazounganisha nchi jirani.

Waambie wasomaji kuwa njia pekee ya mtu kuingia Somalia ni kwa anga tu. Hakuna reli, barabara wala meli kwenda popote nje ya Somalia.

Hospitali. Asilimia 99 ya hospitali ni binafsi. Ndio unalinganisha na Tanzania?? Serikali haina uwezo hata wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake - inawezaje kuwa na hospitali zinazofanya kazi!! Huwezi kusikia maji ya bomba hapa. Chimba kisima chako.

Ninachukulia post yako kama ni maoni ya mtu anayefika sehemu akawa na dhana zisizokuwa na msingi! Akaondoka na impressions zisizokuwa na facts nyuma yake.

Declaration of interests: Nimeishi nchi hii miaka 11 sasa. Nimeishi hata huko kwenye states, sio Mogadishu tu. Na uliyosema hapa ni uongo mtupu!!
Vipi totoz za kisomali unakula
 
Kama ni hivyo mbona wasomali wanapita hapa nchini kwetu kuelekea Afrika Kusini? Ni nini kinachowakimbiza huko kwao ambako kwa maelezo yako kunafaa kuishi?
 
Wewe dada sikia, Mogadishu Somalia nimewahi kufika kwa project maalum. Kuanzia Jaabad hadi Degmada kuna maelfu ya plots zimepimwa na kutengenezwa barabara ila hakuna nyumba wala mkazi yoyote. Kifupi wao miundombinu inaanza alafu watu ndio wanafatia.

Ni maelfu ya plots yapo tupu na bado wanaendelea kupima na kuchonga barabara
Ki ukweli huu ndio ulitakiwa kua utaratibu wa kila mji. Hakuna kuanzisha makazi kabla maeneo hayajapimwa.

Sisi kwetu tunasubiri watu wajenge ndo tuanze kupima sijui kusema hapa bomoa. Haijakaa sawa kabisa.

Ilitakiwa sehemu zipimwe miundo mbinu kama balabala itangulie, hata kama sio kiwango cha rami kabisa inasaidia sna kupanga maeneo vizuri nakupunguza gharama za kubomoleana nyumba na kulipana fidia

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom