Hali ilivyo nchini Somalia

Hali ilivyo nchini Somalia

Kama ni hivyo mbona wasomali wanapita hapa nchini kwetu kuelekea Afrika Kusini? Ni nini kinachowakimbiza huko kwao ambako kwa maelezo yako kunafaa kuishi?
Hata watanzania kila siku wanaenda afrika kusini.wasomali wanaoenda africa kusini haimaanishi wamekimbi nchi yao bali ni shughuli za kibiashara
 
Kodi + Tozo + Madeni
Miradi mikubwa eg SGR, STIGLERS', Kuhamia Dodoma, ATCL
Ufisadi, elimu bure, hayo ndiyo chanzo cha maisha magumu hapa nchini
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Vipi tozo umeikuta huko mkuu?
 
Regional disparity zipo sehemu nyingi sana duniani, ndio maana ukienda Addis Ababa utasema capital ya Africa ila ukiingia ndani ndani huko Ogaden utasema hii nchi ni maskini wa kutupwa!!
Mada imejikita kwenye bei za vyakula na nishati, kote mijini na vijijini kwao ni nafuu kuriko Tanzania. How?? Tuendelee hapo.......
 
Nafikiri hayo yote wanaweza kuyafanya kwa sababu hakuna hofu ya policcm
 
Mkuu, ningekuwa naweza kufananisha na miji yetu ya Tanzania - ungepata picha halisi lakini sitaki watu wa miji hiyo wajione vibaya.

How about this - asilimia 80 ya nyumba za kuishi za wakazi wa Mogadishu ni zile full suit (mabati pande zote). Sasa fikiria hiyo kwenye joto ambalo huenda hadi nyuzi 39!!

Our Dar is heaven compared to this place!! Jamaa kasema uongo mwingi sana!
Na vip kuhusiana na totoz upatinaji wake
 
Somalia umekwenda mbali mno.

Hapo Zenji tu maisha ni matamu kuliko hapa Tozo kantri.

Majambawaka yamekamata fursa.
Zanzibar haina tofauti na somalia,isipokuwa hapa kuna amani
1. Barabara ni mbovu,miundo mbinu ya barabara haifai
2. Miji ni michafu sana
3. Wakazi wengi ni masikini wanaishi zile nyumba za kizamani choo kimoja watu 20
4. Watu hawana uwezo wa hata kumudu mlo wa nyama ya ngombe
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Hali inakuwa ngumu hapa Tz ukilinganisha na Somalia kwa sababu Al Shabab yetu (CCM) ni mbaya zaidi ya ile ya Somalia.
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Hamia huko huko, umerudi Tanzania kufanya nini? Huku tuachie sisi wagumu tu.

Somalia isikie hivyo hivyo. Wale ni watekaji wa meli kwenye hiyo pwani ya pembe ya Afrika. Wao kununua petroli ya magendo siyo shida hata kidogo. Nchi credible haiwezi kununua bidhaa nje ya mfumo maalum
 
Usifananishe Somalia na vitu vya kijinga, Tanzania ndonchi ya kwanza kwa ujinga na umasikini wa kutupwa uliosababishwa na mifisiemu
 
Weka chuki pembeni chanzo kikuu ni mfumo wa uongozi wa kiislamu. Hata baada ya UHURU angalau nchi za kiafrica ya kiislamu wao Wana nafuu awalambi Sana chumvi kama sisi
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Kumbe iko ivo

Hongera kwao
 
Wewe dada sikia, Mogadishu Somalia nimewahi kufika kwa project maalum. Kuanzia Jaabad hadi Degmada kuna maelfu ya plots zimepimwa na kutengenezwa barabara ila hakuna nyumba wala mkazi yoyote. Kifupi wao miundombinu inaanza alafu watu ndio wanafatia.

Ni maelfu ya plots yapo tupu na bado wanaendelea kupima na kuchonga barabara
TANZANIA maendeleo ndio yanafata watu na sio watu ndo ufuata maendeleo
 
Mwezi March nilienda nchini Somalia kikazi chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa liitwalo Internation Organization for Migration.

Ili kufupisha maada. Nilichokishuhudia huko nchini Somalia kilinishangaza sana nikilinganisha na hali ya nyumbani Tanzania. Yaani Somalia ukiondoa ile hofu ya Al-Shabaab vitu vingine vyote ni rahisi kuliko nchini kwetu Tanzania.

Mfano, niliuliza gunia la mchele la kilo 100 na bei ilikuwa hela za kitanzania 60,000 kwa mjini mogadishu na miji ya pembezoni bei ilikuwa ya chini zaidi mafuta (petroli ilikuwa Tsh 2500), diesel ni tshiling 2000.na mafuta ya taa ni 1,500.Bei hizi ni za kuanzia mwezi wa 8.2022.

Miundombinu kama barabara, hosipitali na umeme zinajengwa kwa kasi sana nchini Somalia tofauti na Tanzania ambapo ni mwendo wa konokono, pesa ya Somalia ina thamani kubwa dhidi ya pesa ya Tanzania.

Watanzania wenzangu kwa nini tunazidiwa na Somalia kimaendeleo? Yaani nchi ina vita toka 1990 hadi leo lakini ina maendeleo zaidi kuliko Tanzania. Sababu ni nini inayotufanya Watanzania maisha yawe magumu kuliko Somalia?
Nifanyie moango nikafanye biashara ya Kitimoto
 
Back
Top Bottom