kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Nimeona mkuu, lkn sina hakika na hizi % usijje kushangaa zikabadilika akienda mkuu TANROAD ama naibu waziri.Aione Sexless kwa taarifa
raha sio raha ndugu zanguJPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
hii inatwa piga ni kupigeKumbe leo ni tarehe 23 Januari 2023 huko Mwanza, huku kwetu leo ni 17 Januarib2023.
Hata Samia ni legacy ya MagufuliJPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Huna akili wew kichwa sijui cha kazi ganiJPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Huna akili wew kichwa sijui cha kazi ganiJPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Nimeona mkuu, lkn sina hakika na hizi % usijje kushangaa zikabadilika akienda mkuu TANROAD ama naibu waziri.
Nadhani unafahamu mkanganyiko uliopo kwenye % za utekelezaji wa mradi wa JNHPP.
Nyie sukuma gang si ndo mlikuwa mnasema mama hana uwezo wa kufaa viatu vya Magufuli', visingizio vya CDM vinatoka wapi tena?!Machadema yatakuambia hakuna kitu kimefanyika huku yenyewe yanashindwa hata angalau kukarabati ofisi zao.
Hamna cha sukuma gang wala nini. Msijifiche kwenye kichaka.Nyie sukuma gang si ndo mlikuwa mnasema mama hana uwezo wa kufaa viatu vya Magufuli', visingizio vya CDM vinatoka wapi tena?!