Hali ilivyo utekelezaji ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi

Hali ilivyo utekelezaji ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi

Kabisa, yaani hawa jamaa wamekuwa matapeli hadi ni aibu. Nenda sehemu ya ujenzi hapo ndio utajua jamaa wanaendekeza propaganda za kitoto. Nilikuwa mwanza siku moja kabla ya Magufuli kuzikwa Chato. Nilichokiona kwenye hilo daraja, na kilichokuwa kinahubiriwa ni vitu tofauti kabisa. Hadi nikahisi sio hilo daraja nini?
CCM wahuni Sana Hawa. Ngoja chadema iwanyooshe kwenye mikutano inayoanza tarehe 21
 
Nimeona mkuu, lkn sina hakika na hizi % usijje kushangaa zikabadilika akienda mkuu TANROAD ama naibu waziri.

Nadhani unafahamu mkanganyiko uliopo kwenye % za utekelezaji wa mradi wa JNHPP.
Hayo yako mkuu
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Huoni miradi mingi iko chini ya kiwango?

Yaani inatekelezwa kwa kubarazwa tu huku wakiiba balaa.. angalia barabara za mwendokasi za sasa. angalia daraja la keko limepindwa utazani linajengwa na mwanafunzi wa form six.
 
Back
Top Bottom