CCM wahuni Sana Hawa. Ngoja chadema iwanyooshe kwenye mikutano inayoanza tarehe 21Kabisa, yaani hawa jamaa wamekuwa matapeli hadi ni aibu. Nenda sehemu ya ujenzi hapo ndio utajua jamaa wanaendekeza propaganda za kitoto. Nilikuwa mwanza siku moja kabla ya Magufuli kuzikwa Chato. Nilichokiona kwenye hilo daraja, na kilichokuwa kinahubiriwa ni vitu tofauti kabisa. Hadi nikahisi sio hilo daraja nini?
Umekuja JF kuonyesha unavyotumia kichwa kubebea kamasiHuna akili wew kichwa sijui cha kazi gani
Hayo yako mkuuNimeona mkuu, lkn sina hakika na hizi % usijje kushangaa zikabadilika akienda mkuu TANROAD ama naibu waziri.
Nadhani unafahamu mkanganyiko uliopo kwenye % za utekelezaji wa mradi wa JNHPP.
Post in thread 'Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma' https://www.jamiiforums.com/threads...r-na-makao-makuu-dodoma.1931968/post-40825535CCM wahuni Sana Hawa. Ngoja chadema iwanyooshe kwenye mikutano inayoanza tarehe 21
Huoni miradi mingi iko chini ya kiwango?JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.
Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Jibu swali! Waliokuwa wanadai Rais Samia hawezi kuvaa viatu vya Magufuli' nyie CCM au wapinzani?! Msijifanye hatuwajui, tunawajua sana.Hamna cha sukuma gang wala nini. Msijifiche kwenye kichaka.
Wewe nani unanilazimisha nijibu?Jibu swali!..
Pambaneni na Hali yenu sukuma gang!Wewe nani unanilazimisha?
Una upumbavu uliopitiliza.Pambaneni na Hali yenu sukuma gang!