Hali inatisha aisee! Yule mc comedian,mchungaji na kuna kipindi aliwahi kuwa mwalimu amechapiwa mke wake muhaya

Hali inatisha aisee! Yule mc comedian,mchungaji na kuna kipindi aliwahi kuwa mwalimu amechapiwa mke wake muhaya

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Jumapili ya leo ni mwendo wa kugawa upendo kwa yoyote anayetaka connection aje pm na namba yake tu nigawe upendo basi tuendelee wakuu yaani hawa viumbe hawa bwana sio poa kabisa yaani bwana nimechoka kabisa

Kuna yule Mc comedian,mgogo, na kuna kipindi alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari baada ya kuona ualimu haumlipi akaamua kuingia kwenye uchekesheshaji kuna methali ya kiswahili inasema" pilipili usiyoila inakuwasha nini?" nafikiri hapo mmenielewa kama haujaelewa jiulize kwanini ulikimbia umande?

Na mnakumbuka mke wake nae alisomea uchungaji? Na yeye ni mchungaji? Basi bwana Ile pisi ya mgogo imeliwa na mtu fulani nae ni maarufu tu! Yaani hawa viumbe bwana sio poa kabisa

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli# mods sijamsema mtu tafadhali#

# kesho nitawaletea simulizi ya mwingine yaani hali si hali wakuu#
 
Jumapili ya leo ni mwendo wa kugawa upendo kwa yoyote anayetaka connection aje pm na namba yake tu nigawe upendo basi tuendelee wakuu yaani hawa viumbe hawa bwana sio poa kabisa yaani bwana nimechoka kabisa

Kuna yule Mc comedian,mgogo, na kuna kipindi alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari baada ya kuona ualimu haumlipi akaamua kuingia kwenye uchekesheshaji kuna methali ya kiswahili inasema" pilipili usiyoila inakuwasha nini?" nafikiri hapo mmenielewa kama haujaelewa jiulize kwanini ulikimbia umande?

Na mnakumbuka mke wake nae alisomea uchungaji? Na yeye ni mchungaji? Basi bwana Ile pisi ya mgogo imeliwa na mtu fulani nae ni maarufu tu! Yaani hawa viumbe bwana sio poa kabisa

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli# mods sijamsema mtu tafadhali#
Na huyu nae!?? Wazee hii kampeni imeshakuwa ya kitaifa sasa...TEAM KATAA NDOA wanatafuta wake za watu kwa gharama yoyote ile wawatindue halafu wawatangaze duh
 
Baada ya kutoweka bikra sasa unatoweka uaminifu sikujui nn kitafata kutoweka..... mambo yako kasi sana anyway wanaume tuoe hivo hivyo, hakuna kurudi nyuma kwenye jambo letu Tumtangulize Mungu mbele

Hakuna ndoa bila uaminifu,
Utaoaje bila upendo na Uaminifu. Hiyo sio ndoa ni Utapeli na UHUNI
 
Jumapili ya leo ni mwendo wa kugawa upendo kwa yoyote anayetaka connection aje pm na namba yake tu nigawe upendo basi tuendelee wakuu yaani hawa viumbe hawa bwana sio poa kabisa yaani bwana nimechoka kabisa

Kuna yule Mc comedian,mgogo, na kuna kipindi alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari baada ya kuona ualimu haumlipi akaamua kuingia kwenye uchekesheshaji kuna methali ya kiswahili inasema" pilipili usiyoila inakuwasha nini?" nafikiri hapo mmenielewa kama haujaelewa jiulize kwanini ulikimbia umande?

Na mnakumbuka mke wake nae alisomea uchungaji? Na yeye ni mchungaji? Basi bwana Ile pisi ya mgogo imeliwa na mtu fulani nae ni maarufu tu! Yaani hawa viumbe bwana sio poa kabisa

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli# mods sijamsema mtu tafadhali#

# kesho nitawaletea simulizi ya mwingine yaani hali si hali wakuu#
kidogo usemi wenu nataka kuuelewa.
 
Back
Top Bottom