Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kaka Pascal Mayalla Kuna konekisheni huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaocheka ni ambao hawajaoa tu[emoji23][emoji23] atari sana.
Wewe acha kupaka watu tope..Kwani we haijui Ying yang ni mwana toka high school
Njoo pm nikubless connection acha kuropoka tu! Mbweha weWewe acha kupaka watu tope..
Siamini kama P nae kachepuka mpaka ushahidi nione
Nionee nasemaaa!
😂🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu wewe unapendelea pilipili au chachandu mkuu???Jumapili ya leo ni mwendo wa kugawa upendo kwa yoyote anayetaka connection aje pm na namba yake tu nigawe upendo basi tuendelee wakuu yaani hawa viumbe hawa bwana sio poa kabisa yaani bwana nimechoka kabisa
Kuna yule Mc comedian,mgogo, na kuna kipindi alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari baada ya kuona ualimu haumlipi akaamua kuingia kwenye uchekesheshaji kuna methali ya kiswahili inasema" pilipili usiyoila inakuwasha nini?" nafikiri hapo mmenielewa kama haujaelewa jiulize kwanini ulikimbia umande?
Na mnakumbuka mke wake nae alisomea uchungaji? Na yeye ni mchungaji? Basi bwana Ile pisi ya mgogo imeliwa na mtu fulani nae ni maarufu tu! Yaani hawa viumbe bwana sio poa kabisa
#kataa ndoa,ndoa ni utapeli# mods sijamsema mtu tafadhali#
# kesho nitawaletea simulizi ya mwingine yaani hali si hali wakuu#
Utovu wa nidhamu huo sasa@Accumen 😂😂😂😂😂🤣🤣Mr .pepper 🤔
Mc washawasha 😂😂😂🤣🤣Mkuu naona hii thread ya pili ,ni strategy ya kuhamasisha kataa ndoa au ni kweli MC washawasha na SItaki kazi wake zao wameliwa?
🤣🤣🤣Uzushi jamani watu wanaona raha wenzao kupata majangaUtovu wa nidhamu huo sasa@Accumen 😂😂😂😂😂🤣🤣
Ila MC washawasha alikua anamuanika sana mkewe hadharani🤣🤣🤣Uzushi jamani watu wanaona raha wenzao kupata majanga
Hata mwanamke mwenyewe alikua anajislay balaa...Ila MC washawasha alikua anamuanika sana mkewe hadharani
Kwenye social network's au???????Hata mwanamke mwenyewe alikua anajislay balaa...
MNoKwenye social network's au???????
Duuuh I feel sorry kwa brother washa washa.Mwanaume mwezangu ujueHata mwanamke mwenyewe alikua anajislay balaa...
Ila mzuri to be honest anahamasisha kwa matumizi binafsi 🤣🤣🤣🤣