Hali mbaya ya mafuta, wasafirishaji wasibughudhiwe

Hali mbaya ya mafuta, wasafirishaji wasibughudhiwe

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Bei ya diesel kwa mara ya kwanza duniani (hapa kwetu) ipo juu kuliko petrol.

Bila shaka lengo ni kuwapa wepesi boda boda na wenye vi IST waache kumpigia mbuzi kelele.

Ngoma ipo kwa wasafirishaji bidhaa na watu.

Tulipo sasa, kwa hakika tunauhitaji sana ubinadamu wa kila mtu akiwamo serikali.

Enyi serikali mliotutelekeza watendeeni haki japo wasafirishaji hawa kwa:

1. Kuondoa ma faini bambikizi yanayozalisha lalamikiwa kila leo.
2. Kuondoa ushuru na tozo za hovyo hovyo lukuki majiani.
3. Ahirisheni matakwa yasiyokuwa na tija ya ving'amuzi na gharama zake.
4. Nk

Kero zinazoepukikwa ziko nyingi.

Kwa hakika huu ni muda wa kuvaa nyuso za kibinadamu mkiwamo nyie.
 
Bei ya diesel kwa mara ya kwanza duniani (hapa kwetu) ipo juu kuliko petrol.

Bila shaka lengo ni kuwapa wepesi boda boda na wenye vi IST waache kumpigia mbuzi kelele...

Muungano wa Mashirika ya Ndege nchini Nigeria umesema utasimamisha safari zote za ndege kuanzia kesho Jumatatu kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Muungano huo umesema bei ya mafuta ya ndege imepanda kutoka Naira 190 za Nigeria (Tsh. 1,064) hadi Naira 700 (Tsh. 3,922) kwa lita.

Muungano huo umesema hakuna Shirika lolote la Ndege Duniani linaloweza kustahamili gharama kubwa ya uendeshaji ambapo umesema itamlazimu abiria kulipa hadi dola 289 kwa safari ya ndege ya saa moja kiasi ambacho Raia wengi wa Nigeria ambao tayari wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, hawataweza kumudu.

Wizara ya usafiri wa anga imeutolea mwito muungano huo kuzingatia athari za kusitisha safari za ndege kwa Wanigeria na wasafiri wa kimataifa.

Nigeria inazalisha mapipa milioni 1.4 ya mafuta ghafi kwa siku, japo inasafisha kiasi kidogo tu cha mafuta hayo, Nchi hiyo hutegemea mafuta yanayoagizwa kutoka nje na kufanya soko la ndani kutatizika iwapo kutatokea uhaba wa bidhaa hiyo.
#MillardAyoUPDATES
 
Muungano wa Mashirika ya Ndege nchini Nigeria umesema utasimamisha safari zote za ndege kuanzia kesho Jumatatu kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Muungano huo umesema bei ya mafuta ya ndege imepanda kutoka Naira 190 za Nigeria (Tsh. 1,064) hadi Naira 700 (Tsh. 3,922) kwa lita.

Muungano huo umesema hakuna Shirika lolote la Ndege Duniani linaloweza kustahamili gharama kubwa ya uendeshaji ambapo umesema itamlazimu abiria kulipa hadi dola 289 kwa safari ya ndege ya saa moja kiasi ambacho Raia wengi wa Nigeria ambao tayari wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, hawataweza kumudu.

Wizara ya usafiri wa anga imeutolea mwito muungano huo kuzingatia athari za kusitisha safari za ndege kwa Wanigeria na wasafiri wa kimataifa.

Nigeria inazalisha mapipa milioni 1.4 ya mafuta ghafi kwa siku, japo inasafisha kiasi kidogo tu cha mafuta hayo, Nchi hiyo hutegemea mafuta yanayoagizwa kutoka nje na kufanya soko la ndani kutatizika iwapo kutatokea uhaba wa bidhaa hiyo.
#MillardAyoUPDATES
Kwani mafuta ya ndege ni diesel au petrol??
 
Kwani mafuta ya ndege ni diesel au petrol??
Mafuta ya ndege yamegawanyika kuna aviation gassoline,avgas na jet A1.Ndege nyingi kwa sasa zinatumia Jet A1 ambayo kwenye processing ni kama mafuta ya taa yanatofautiana tu kidogo kwenye vitu kama combustion.
 
Muungano wa Mashirika ya Ndege nchini Nigeria umesema utasimamisha safari zote za ndege kuanzia kesho Jumatatu kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Muungano huo umesema bei ya mafuta ya ndege imepanda kutoka Naira 190 za Nigeria (Tsh. 1,064) hadi Naira 700 (Tsh. 3,922) kwa lita.

Muungano huo umesema hakuna Shirika lolote la Ndege Duniani linaloweza kustahamili gharama kubwa ya uendeshaji ambapo umesema itamlazimu abiria kulipa hadi dola 289 kwa safari ya ndege ya saa moja kiasi ambacho Raia wengi wa Nigeria ambao tayari wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, hawataweza kumudu.

Wizara ya usafiri wa anga imeutolea mwito muungano huo kuzingatia athari za kusitisha safari za ndege kwa Wanigeria na wasafiri wa kimataifa.

Nigeria inazalisha mapipa milioni 1.4 ya mafuta ghafi kwa siku, japo inasafisha kiasi kidogo tu cha mafuta hayo, Nchi hiyo hutegemea mafuta yanayoagizwa kutoka nje na kufanya soko la ndani kutatizika iwapo kutatokea uhaba wa bidhaa hiyo.
#MillardAyoUPDATES
Bado kuna makapuku wanaolaumu kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta.
Nigeria ni wazalishaji wa mafuta na wao wapo taabani itakuwa sisi wanunuzi?
Bei ya mafuta sasa hivi ni janga la kidunia.
Kama itabidi hatua zichukuliwe kama oil crisis ya miaka ya 1970.
Magari yasiyokuwa ya huduma yalipigwa marufuku kufanya safari zao za kibinafsi siku za Jumapili baada ya saa 6.
Tubadili tabia zetu ili matumizi ya magari kwa hata siku moja yapunguze matumizi ya mafuta.
Jahazi ni letu sote hakuna asiyeathirika na bei ya mafuta ingawa kwa viwango tofauti.
 
Muungano wa Mashirika ya Ndege nchini Nigeria umesema utasimamisha safari zote za ndege kuanzia kesho Jumatatu kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Muungano huo umesema bei ya mafuta ya ndege imepanda kutoka Naira 190 za Nigeria (Tsh. 1,064) hadi Naira 700 (Tsh. 3,922) kwa lita.

Muungano huo umesema hakuna Shirika lolote la Ndege Duniani linaloweza kustahamili gharama kubwa ya uendeshaji ambapo umesema itamlazimu abiria kulipa hadi dola 289 kwa safari ya ndege ya saa moja kiasi ambacho Raia wengi wa Nigeria ambao tayari wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha, hawataweza kumudu.

Wizara ya usafiri wa anga imeutolea mwito muungano huo kuzingatia athari za kusitisha safari za ndege kwa Wanigeria na wasafiri wa kimataifa.

Nigeria inazalisha mapipa milioni 1.4 ya mafuta ghafi kwa siku, japo inasafisha kiasi kidogo tu cha mafuta hayo, Nchi hiyo hutegemea mafuta yanayoagizwa kutoka nje na kufanya soko la ndani kutatizika iwapo kutatokea uhaba wa bidhaa hiyo.
#MillardAyoUPDATES

Kwa kweli tunapohitaji nyuso za kibinadamu toka kwa wasafirishaji na iwe hivyo kwa mamlaka
 
Back
Top Bottom