Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Tukiacha kundi dogo la Viongozi wa Kisiasa wa Chama kilichojimilikisha madaraka, kwa kweli hali ya maisha kwa Wananchi ni ngumu sana huku mtaani,tuache kuvunga..
Hela hakuna wakuu, Ukitoka nyumbani na sh. laki moja unarudi huna hata sh. 100...bila shaka hali hii hainikabili mimi peke yangu
Hela hakuna mazee, Mishahara haitoshi na vimiradi vya kijasiriamali tunayojaribu pia vinakufa katika mazingira ya kustaajabisha sana
Ukikutana na Vijana waliomaliza Vyuo miaka miwili-mitatu iliyopita Utawaonea huruma, wamechoka, wamekonda, hawana tumaini...
Wafanyakazi wa Sekta ya Umma wako hoi
Wafanyabiashara taabani
Saivi unaweza kuviziwa getini kwako ukala shaba kisa tu Sh. elfu 20...
Hali ni ngumu sana, sema inaelekea wengi tumeamua kufa na tai shingoni..
Hela hakuna wakuu, Ukitoka nyumbani na sh. laki moja unarudi huna hata sh. 100...bila shaka hali hii hainikabili mimi peke yangu
Hela hakuna mazee, Mishahara haitoshi na vimiradi vya kijasiriamali tunayojaribu pia vinakufa katika mazingira ya kustaajabisha sana
Ukikutana na Vijana waliomaliza Vyuo miaka miwili-mitatu iliyopita Utawaonea huruma, wamechoka, wamekonda, hawana tumaini...
Wafanyakazi wa Sekta ya Umma wako hoi
Wafanyabiashara taabani
Saivi unaweza kuviziwa getini kwako ukala shaba kisa tu Sh. elfu 20...
Hali ni ngumu sana, sema inaelekea wengi tumeamua kufa na tai shingoni..