Mshahara ngapi?una miaka 24 na kuendelea...?
unaweza kufanya kazi ya ulinzi day&night?
kama una...
1.cheti cha kuzaliwa
2.tin...pamoja na kitambulisho cha nida
3.vyeti original tumia vya kidato cha nne na wala usiseme kuwa unayo elimu kubwa zaidi ya hiyo
4.wadhamini wawili
watembelee gardaworld wapo pale mikocheni kwa mwinyi...
Mshahara huwa ni comfidencial ila kwenye kampuni hiyo hakuna mtu anaechukua chini ya 250k hapo makato yote yamekatwa ikiwemo nssfMshahara ngap?
Nawashukuru wote ambao mlichangia uzi huu na kutoa mawazo yenu, kile nilichokiwasilisha hapa tayari kimepata wahusika, naimani mda si mwingi watawatangazia humu Nini wanakifanya .
Niombe Kama Kuna kijana wa IT ambae yupo njombe na Hana ajira aje inbox hata watatu sawa Nina Jambo lenu hapo
Je kama huna mafunzo ya ulinzi wanakubali.? π€π€π€una miaka 24 na kuendelea...?
unaweza kufanya kazi ya ulinzi day&night?
kama una...
1.cheti cha kuzaliwa
2.tin...pamoja na kitambulisho cha nida
3.vyeti original tumia vya kidato cha nne na wala usiseme kuwa unayo elimu kubwa zaidi ya hiyo
4.wadhamini wawili
watembelee gardaworld wapo pale mikocheni kwa mwinyi...
Shukrani, japo anataka walio Njombe mimi nipo DarEm fuatilia hiyo comment
Kama mshahara ni mzuri na kazi n uhakika c unaenda tuushukrani,japo anataka walio njombe mimi nipo dar
Mafunzo ya ulinzi kila kampuni ina utaratibu wake. Hivyo kabla hujapangwa kazi unapitia training kwanza.Je kama huna mafunzo ya ulinzi wanakubali.? π€π€π€
MUISLAM ANAHITAJIKA..?Kuna Taasisi ya kikatoliki Ina nafasi...Nicheki PM
Kuna sehemu nimeandika awe na mafunzo ya ulinzi...?Je kama huna mafunzo ya ulinzi wanakubali.? π€π€π€
Ameuliza hivyo maana sehemu nyingine huwa wanahitaji waliopita jkt au mafunzo yoyote ya ulinzi.Kuna sehemu nimeandika awe na mafunzo ya ulinzi...?
POLE SANA NDUGU! πDah... Hata kula tu mtihani
Kwanini mnaongeza vigezo makusudi?Ameuliza hivyo maana sehemu nyingine huwa wanahitaji waliopita jkt au mafunzo yoyote ya ulinzi.
POLE SANA NDUGU! π