Hali ni mbaya, kazi yoyote inahitajika

Hali ni mbaya, kazi yoyote inahitajika

Kwa Fiverr wewe check wenzako wanaotoa huduma ( gigs ) kama zako wameandikaje.

Angalia hasa wale wa Level 2.

Cc Nafaka
Si wanadai uki paste unakuwa disregarded, tatizo siwezi ona hadi nimalize process ya kujaza detail ambapo ndio kuna hio mandatory field ya kujieleza
 
Si wanadai uki paste unakuwa disregarded, tatizo siwezi ona hadi nimalize process ya kujaza detail ambapo ndio kuna hio mandatory field ya kujieleza
Ingia kupitia browser, then search kama guest.

Usikopi na kupaste. Just write in your own way. Chukua idea tu na format.

Hata contents tunazoandika huwa hatutoi kichwani kwa 100%.

Ukishakuwa na keywords unaingiza Google, unaona wengine wanaandikaje.

Then wewe unaandika upya ( rewrite ) in your own way kukwepa plagiarism. Ukiongeza na majibu ya maswali ya watu wanayouliza Google utakayoyaona kupitia search results tayari una maneno zaidi ya 1,000.
 
Hio kitu sio rahisi kama inavyoandikwaga humu
Naelewa hilo, kwani kitu gani halali ni rahisi boss? Ni juhudi na Investment. Sema kuwa Translator wa Kiswahili kuna less competition kuliko area nyingi kwa sababu watu wanaojua kiswahili mule ni wachache ukilinganisha na vitu vingine. So chances za ku bump na opportunity ni kubwa zaidi.

Hakuna kitu rahisi halali!
 
Naelewa hilo, kwani kitu gani halali ni rahisi boss? Ni juhudi na Investment. Sema kuwa Translator wa Kiswahili kuna less competition kuliko area nyingi kwa sababu watu wanaojua kiswahili mule ni wachache ukilinganisha na vitu vingine. So chances za ku bump na opportunity ni kubwa zaidi.

Hakuna kitu rahisi halali!
Now you’re talking maana mie nimeona na bid kazi sipewi hadi nikaona kama ngonjera tu mnazoletaga humu nikaachanaga nayo!
 
100%

Mkuu, hakuna kitu chenye demand kubwa kama kuandika sasa hivi.

Yaani sasa hivi ukimaster uandishi na video editing, huwezi kulala njaa hata siku moja.

Contents hata mimi mwenyewe nanunua.
Samahani Mkuu.. ongeza nyama kidogo hapa kwenye video editing
 
IT pana sana, umesoma nn kwenye IT
nina experience kwenye technical support, system adminstrator, hardware and software installation and maintanance. Pia networking
 
Mkuu ingia keko magurumbasi ..Chaka la Monalisa Good one good

Pale n kubeba tiles na sabuni za nice one

Hukosi kazi pale kwa siku 4000 na chakula Cha mchana unapata

Note: Anza kulala sakafuni ..coz ukitoka pale mgongo haufai
 
Mkuu ingia keko magurumbasi ..Chaka la Monalisa Good one good

Pale n kubeba tiles na sabuni za nice one

Hukosi kazi pale kwa siku 4000 na chakula Cha mchana unapata

Note: Anza kulala sakafuni ..coz ukitoka pale mgongo haufai
Ninapokaa hadi magurumbasi ni 1400 kwenda na kurudi inakuwa 2800 kwahiyo narudi na 1200 hapo baada ya kubeba tiles za kutosha. Bado unanishauri?
 
Je kama huna mafunzo ya ulinzi wanakubali.? [emoji848][emoji848][emoji848]
Mafunzo ya ulinzi ni sifa ya ziada halafu nashangaa mtu amesomea mambo ya IT wanaitajika Sana kwenye kampuni za ulinzi unakua ofisini tu na mshahara mzuri ningekua nimesome fani kama yako ningefurahi
 
Nafasi zipo garda hata Mimi nimetoka huko leo nafasi zipo
 
Dah... Hata kula tu mtihani
Nenda garda mkuu au unachagua kazi?kazi zipo kama unataka kazi ya kujishikisha wakati unatafuta kazi uipendayo utashinda vp na njaa boss? Watu wa kada yako wanaitajika ofisini control room
 
100%

Mkuu, hakuna kitu chenye demand kubwa kama kuandika sasa hivi.

Yaani sasa hivi ukimaster uandishi na video editing, huwezi kulala njaa hata siku moja.

Contents hata mimi mwenyewe nanunua.
Video editing najua naomba connection
 
Mkuu ingia keko magurumbasi ..Chaka la Monalisa Good one good

Pale n kubeba tiles na sabuni za nice one

Hukosi kazi pale kwa siku 4000 na chakula Cha mchana unapata

Note: Anza kulala sakafuni ..coz ukitoka pale mgongo haufai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom