Ndugu zangu msinichoke bado sijapata ajira. Nilisoma IT lakini ninaweza kufanya kazi yoyote. Kama una duka au biashara naomba uniamini nije nifanye kazi yako kwa ufanisi. Napatikana Dar es salaam.
Hata wale wenye vibanda sabasaba kama unahitaji kibarua, nipo.
Hata wale wenye vibanda sabasaba kama unahitaji kibarua, nipo.